Zamani bible iliposema tuishi kwa akil na hawa viumbe sikuelew
Zamani bible iliposema tuishi na hawa viumbe kwa akil sikuelewa, au kama nilielewa, nilielewa isivyomaanisha. Kumbe bible ina maana kuwa hawa viumbe wana akil kuliko sisi, so kuishi nao lazima tujiongeze. Tusilale.
Unayoyasema ni kweli japo si lazima iwe hivyo usemavyo. Wengine ( kama alivyosema mtu mmoja hapo juu) wanaenda shule ili wakaongeze umri, ili atakapojiajiri at least awe na ka age ka kuweza kuingia hata kwenye ofisi za watu akasema akasikilizwa
Unayoyasema ni kweli japo si lazima iwe hivyo usemavyo. Wengine ( kama alivyosema mtu mmoja hapo juu) wanaenda shule ili wakaongeze umri, ili atakapojiajiri at least awe na ka age ka kuweza kuingia hata kwenye ofisi za watu akasema akasikilizwa.
Watu wawili wameingia kwenye kinyang'anyilo cha kugombea uenyekiti wa kudumu wa wa bunge maalumu la katiba. Watu hao ni Hashim Rungwe na Samuel Sitta.
Kabla ya kuanza upigaji kura wagombea walipewa dakika tatu kila mmoja wao za kutoa maelezo ili mwishoe aombe kura. Wakati hoja ya kuuza magari...
Maana yangu ni kuwa kama tatizo ni muda bac angeruhusu watu waongee hadi hapo muda utakapokuwa umekwisha. Kusema muda hautoshi wakati kikao kimefungwa karibu masaa matatu kabla ni uongo wa wazi. So guy you are trying to divert the point.
Kikao cha bunge leo asubuhi kimeisha saa 4; 23, ambapo wamezipitisha kanuni za kuliongoza bunge hilo baada ya kumenyana kwa siku 21.
Kabla ya kuahirishwa kwa kikao hicho, Mch. Mtikila alitoa malalamiko yake kwa kuongea bila kurusiwa kuwa kwanini tangu jana anaomba kuongea hapewi nafasi ambapo...
Unachokiongea ndicho nisemacho. Wajumbe wengi wa CCM wamekengeuka. Wanachokitaka siyo msimamo wa chama, ndiyo maana wale mavuvuzela wamepewa kazi ya kupigania kura ya wazi ili wawadhoofishe hao walio kinyume na msimamo wa chama chao kwani ni wale majasiri tu walio tayari kwa lolote ndiyo...
Mimi nataka kuamini kuwa CCM ni ugonjwa. Haya nalazimika kuyasema baada ya kuona wanavyojitahidi kwa hoja za uongo ili kupotosha ukweli huku wakijua dhahili kuwa kinyume cha hayo wanayosema ndiyo ukweli.
Nilianza kuwastukia wakati ule wa hoja ya Mbatia na mitaala. Walikazana hoja iondolewe huku...
Moja ya sifa kuu za wabunge wa CDM ni umaarufu, na umaarufu wao huupata kwakuwa huongea sana bungeni na kwa kiasi kikubwa hoja zao huwakosha sana wananchi wa nchi hii.
Mmoja wa watu niliozoea kuwaona wakipambana ili kuweka mambo sawa ni huyu jamaa wa Kigoma akiitwa kwa jina la Zitto...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.