Umenena mkuu. Hawa magamba na mafisadi wapende wasipende lazima cku moja watavua magamba na kuvaa magwanda. Kwani itafika mahali kila wanapopita ni gwanda tupu akiwa ndani ni gwanda, akiwa nje ni gwanda, kwenye gari ni gwanda yaani popote anapokuwa ni gwanda kwani kila mmoja anapigania haki na...
Mh. Rais kikwete ateua baraza la mawazi jipya baada ya malumbano ya muda mrefu. Lakini je, kumbadilisha mtu wizara ndio suluisha ya ufisadi na ubatilifu wa mali za serikali? Ndugu za hili mm naona hawa magamba wanataka waendelee kutesa raia na kumalizia walichobakisha. Cjui waheshimiwa...
umenena mkuu kwani hata sasa jeshi la polisi haliko kwa ajili ya kulinda na kutetea haki za raia bali kupokonya na kunyang'anya raia haki zao. Naweza kusema na nadhini wengi watakubaliana nami kwamba jeshi la polisi liko kwa ajili ya maslahi ya chama cha magamba(chukua chako mapema£ccm).
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.