Asante sana mtoa hoja;
Suala la kukopa sio baya, cha msingi ni kujiuliza unakopa ili ufanye nini?? kwa mishahara ya Kitanzania na aina ya maisha ya utegemezi uliopo ni ngumu sana kuweka akiba kutoka ktk mshahara kwa kiwango cha kupata kiasi cha kufanya jambo kubwa kwa muda mfupi. Hivyo ukitaka...
Hongera sana mdau. kweli ulijipanga vizuri na kuweka malengo. Ninatamani kupata abc ya biashara ya uwakala wa bank.. mfano mtaji unaohitajika, na namna mtu anaweza kupata faida.
Pole sana mdau,
Cha kushukuru amekuachia mtoto ambaye unayo nafasi ya kumlea kwa maadili mazuri kadiri utakavyo. Kwa sasa tuliza akili yako, weka juhudi katika kazi na kumtunza mwanao. Jipe muda kabla ya kuingia ktk mahusiano mengine.
Hello wadau, mimi ni mwalimu, elimu ya msingi ktk wilaya ya Chemba mkoani Dodoma. Natafuta mwalimu mwenzangu ili tubadilishe vituo vya kazi, yeye aje nilipo namimi niende eneo lake! Nahitaji zaidi kubadilisha niende mikoa ya kanda ya ziwa. Asanteni sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.