Nafikir hiv ndo vi2 vya mcng vya kuongea co kila ki2 kuingizia maswala ya udin. Kuhusu kujipanga, mi mwenyewe hawakunitumia sms kwenye writen interview , ila nilienda oficn kwao nikalikuta jina langu na wakanipangia cku ya kufanya interview. Kwa hali hii kuna uwezekano mkubwa kwamba watu weng...
Usichukulie wa2 wachache ukafanya comparison kwa wa2 wote mkuu. Mbona kuna wa2 ambao co waislam wameitwa na wana matokeo mabovu tu? Hiyo ni bahati ya m2 kijana mi mbona huku cjaitwa wkt ukiangalia vyeti vyangu vinaonesha kamanimesoma shule za kiisalam?hiyo bahati ya m2
Usichukulie wa2 wachache ukafanya comparison kwa wa2 wote mkuu. Mbona kuna wa2 ambao co waislam wameitwa na wana matokeo mabovu tu? Hiyo ni bahati ya m2 kijana mi mbona huku cjaitwa wkt ukiangalia vyeti vyangu vinaonesha kamanimesoma shule za kiisalam?
co udini jamani, labda mseme vimemo, tuangalieni wa2 wote walioajiliwa kisha ufanye comparison na tuccngizie udini NSSF tu kisa ni moja kati mashirika machache zinazoongozwa na muislam. mi nikikutajia list ya walioajiriwa CRDB je? MKISEMA UDINI MSISEMA KUHUSU NSSF TU BALI MUINGIZIE NA SEKTA...
uho ujasiliamali kila m2 anaupenda, ila utaapply wap ucpokuwa na capital mkuu. wa2 tunatafuta kazi ili tupate kamtaji cha kuanzisha vishughuli vyetu mkuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.