Habari za kazi wakuu, naomba msaada nifanyeje simu yangu ya lumia 532 touchscreen yake inasumbua kwa mfano back, home na search hazifanyi kazi kabisa pia upande wa meseji herufi za juu yaan qwertyuiop hazifanyi kazi pia. Nimejaribu kufanya factory reset lakin hakuna kitu, naombeni ujuzi wa ziada...
Safi sana, nampa big up, elimu yetu ilikuwa taabani kwa kuchakachuliwa na siasa. Aangalie na vitabu vya kufundishia navyo ni cancel inayodhorotesha elimu yetu.
Pole sana kijana, mi ushauri wangu endelea kusubiri kama kuna dalili za kusamehewa vinginevyo fanya mambo yako mengine, kwa ajira ulioomba ukiwa chuo itatoka lakini utakapoenda kuripoti kituoni database itakutema kwasababu details zako tayari zipo, hivyo utaambiwa rudi kituoni kwako. kuna jamaa...
Wadau naomba ushauri wenu kuhusu bajaj kama kuna model tofauti, ni ipi nzuri na inagharimu shilingi ngapi? kama kuna specification zingine naomba mnijuze kwani mim sio mtaalam wa vitu hvi. Nawasilisha
Daah! Wadau azamtv imekata kwangu tangu saa sita mchana signal zinakuja zinatoka, hvi sababu yaweza kuwa ni nni wataalam? Au ni hali ya hewa? Kwamaana asubuh nimeangalia vzuri, mvua ilipoanza tu ikakata, je kwenu vp mvua ikinyesha huwa inakata mawasiliano?
Wana jf habari zenu, kuna kaproject binafsi ninakafanya ka kutengeneza website kwa kutumia jsp na servlet, sasa nikilog out halafu nikarudi back kwa kuclick back button ninaweza kuaccess tena. Naomba anayeweza kunisaidia code ya kufanya nisiweze kuaccess tena baada ya kulog out. Naomba kuwasilisha
mmhh huu mtihani sasa, nitampa ushauri mwingine ila sio huu, kwa sababu nitajitwisha dhambi ambazo haznistahli, bado cjapata feedback toka kwake ni nini atafanya.
Habari zenu wana Jf,
Kuna rafiki yangu anatarajia kufunga ndoa mwez wa nane mwishon, jana mchumba wake alienda kupima na ikaonekana ana ujauzito wa mwezi mmoja, sasa wanapata wakati mgumu kwa kuwa hadi mwezi wa nane mwishon ujauzito utakuwa na miez minne, kinachowasumbua kichwa, kama mimba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.