This is for real- James H. Chase
An ace up my sleeve, Joker in the park, and Now i hold four aces- the by James H. Chase
Harold Robins nae alikuwa na kali hizi:
1. Never Love A Stranger
2. The Carpetbeggers
3. The Adventurers, which has chapters zinazoanza na violence na kumalizikia na...
Walikuwa wakijiita Mabingwa wa Salamu miaka hiyo ya 70 na 80 na sijui waliishia wapi
Nawakumbuka- Zakaria Ndemfoo wa Lake Babati salamu Club, Rashidi Nguruwe wa Sokoni Korogwe, Ezekiel Greyson Mbaga wa Namanga Border Control(maarufu kwa salamu za mpira wa Simba na Yanga), na wengineo.
Sungurampole
Na mimi niliwahi kusimuliwa ila nimesahau jina na mtunzi lakini nakumbuka jibu la kitendawili chenyewe. Nitajaribu kuulizia zaidi. Ni muda mrefu sijafuatilia habari za washairi lakini nadhani kina Koja Kuu, Sauti ya Kiza, Udogo si Hoja, Yoba kama bado wapo wanaweza kutusaidia...
Wana JF mnao mshauri Ndevu Mbili mshaurini kwa makini na ufasaha wa hoja msije mkamchanganya. Kwa mtazamo wangu kama kuna mtu wa Canada au US ambaye amekuja huku karibuni anaweza kumpa picha nzuri zaidi ya huku kuhusu vitu gani vya kubeba kumsaidia. Sisi tuliopo huku tunakuwa na mtazamo tofauti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.