MKUU wa Wilaya ya Kibondo mkoani Kigoma, Venance Mwamoto, amevamia jukwaa la mkutano wa NCCR-Mageuzi na kisha kumtolea lugha ya matusi Mbunge wa Muhambwe, Felix Mkosamali. Mwamoto alijikaribisha kwenye mkutano huo uliokuwa ukihutubiwa na Katibu Mkuu, Mosena Nyambambe kisha akaketi kiti cha...
Mkuu,
Hawa wajinga ambao hawajawahi wala hawataki siasa za ushindani ndio watakaopeleka nchi hii kwenye shimo...
Yani mtu unakuwa kiongozi bila kuchaguliwa au hata kutimiza matakwa ya demokrasia halafu eti mtu wa namna hii bado anapata tuzo ya "demokrasia" huko Amerika, sijui hizi tuzo huwa...
Mtu mjinga kama huyu ambaye hajawahi kupigiwa kura popote pale duniani au mbinguni achilia mbali kuzimu naye anataka kuwa rais wa Tanganyika?
Ama kweli tumelogwa,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.