Hapa Mweshimiwa Rais Dkt.Jakaya akimkabidhi Nyenzo za kazi Waziri Mwandosya.
Rais Kikwete akibadilishana Mazungumzo na Waziri Mwandosya mara baada ya kumwapisha hii leo!
Waziri wa Nchi katika ofisi ya Rais asiye na wizara maalum Profesa Mark James Mwandosya akila kiapo mbele ya Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete ikulu jijini Dsm leo asubuhi.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.JAKAYA MRISHO KIKWETE amewaapisha Mawazri wapya ambao aliwateua siku ya Ijumaaa katika Baraza Jipya la Mawaziri.
Miongoni mwa Mawaziri wapya yupo Mheshimiwa Pro.Mark Jame Mwandosya ambaye alkuwa waziri wa maji lakini safari hii amekuwa ni Waziri asiye...
Mhe.James Mbatia atakaa upande wa Kushoto wa Spika nyuma katika line anayokaa Kafulila,Mrema na Cheyo.
Mbona Mhe.Ismail Jussa Radhu alikaa upande wa CUF tena mbele kabsa baada ya kuteuliwa na Mheshimiwa Kikwete??
Kabla ya kupost unatakiwa kupekua mambo kijana!!:glasses-nerdy:
Kama sijakosea sana Baba yake ni Marehemu Captain Jacka Mwambi amabe amewai kuwa mkuu wa wilaya pia Mkoa kwa nyakati mbalimbali na last tym alkuwa Rukwa hadi mauti yanamkuta mwanzoni mwa miaka ya 2000.
Kigoma Mjini aliyekuwa Mgombea wa Jimbo hilo toka Chadema alijitoa kuendelea na kesi hiyo baada ya kuona kama Mahakama aimtendei haki....hivyo kesi ilifutwa.
Unajua leo mawazo yalkuwa kwenye kesi ya Mahanga vs Mpendazoe na ndo maana heading ikawa hivyo bt namshukuru admins wameshafanya marekebisho.
Mhe.Davidi Silinde(chadema) ambaye ndiye Mbunge wa sasa huko Mbozi Magharibi ameshinda kesi yake aliyofunguliwa na Mbunge wa zamani wa jimbo hilo...
Breaking Newzz:Nako huku Mbeya Makama kuu imetupilia mbali hoja za Dr.Lukas Siame alizofungua kesi ya kupinga Ushindi wa Jimbo la Mbozi Magharibi.
Mhe.David Silinde ameshinda kesi hiyo hii leo.
Uhuru na Haki katika Utendaji wa Mhakama bado unaendelea katika Kesi za Uchaguzi......!!!
Breaking Newzz:Nako huku Mbeya Makama kuu imetupilia mbali hoja za Dr.Luca Siame alizofungua kesi ya kupinga Ushindi wa Jimbo la Mbozi Magharibi.
Mhe.David Silinde ameshinda kesi hiyo hii leo.
Uhuru na Haki katika Utendaji wa Mhakama bado unaendelea katika Kesi za Uchaguzi......!!!
Hivi huyu aliyeandika unaweza kumuita ni GREAT THINKER au ndo ubabaishaji wake baada ya Uhuru wa Mahakama kufanya kazi?
Kwanini asingewachunguza majaji waliotoa hukumu SUMBAWANGA,BIHARAMURO,ARUSHA,MBOZI MAGHARIBI,MWIBARA na SINGIDA MASHARIKI???
Kweli nimeamini kuwa Mfa Mji aachi...
ASEMA ALIFURAHIA MJADALA MKALI BUNGENI, AJIPANGA KUTEKEKELEZA MAPENDEKEZO................WAKATI akitarajiwa kufanya mabadiliko makubwa katika safu yake ya Baraza la Mawaziri muda wowote kuanza sasa, Rais Jakaya Kikwete amesema amefurahishwa na mjadala mkali ulioibuka bungeni kuhusu kuwajibishwa...
Pia kuna Mhe.Ligola wa Mwibara alishinda kesi yake ya Uchaguzi last month baada ya Mlalamikaji kushindwa kupeleka ushahidi wa Vipengele vyake alivyoahinisha.
Watanzania wenzangu tuache ushabiki wa uhuru wa Mahakama cz inatenda haki cku zote na aiko kwa ajili ya CCM au CDM
Uhuru wa Mahakama ndo huu juzi nilitoka kuzungumzia hili kuwa Mahakama ni muhimili wa Dola unaojitegemea kwa maamuzi yake.
Juzi Tundu Lissu(Chadema) alishinda kesi yake ya Uchaguzi bt hii leo HILARY AESHI(CCM) ameshindwa kwenye Kesi yake ya Ubunge wa Sumbawanga Mjini......Je Serikali ya CCM...
Uhuru wa Mahakama ndo huu juzi nilitoka kuzungumzia hili kuwa Mahakama ni muhimili wa Dola unaojitegemea kwa maamuzi yake.
Juzi Tundu Lissu(Chadema) alishinda kesi yake ya Uchaguzi bt hii leo HILARY AESHI(CCM) ameshindwa kwenye Kesi yake ya Ubunge wa Sumbawanga Mjini......Je Serikali ya CCM...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.