Bro, Mie naona sio busara kuchoma hayo makanisa. Mtu anayekojolea kitabu chako kwanini na wewe usimjibu kwa kunyea kitabu chake? badala ya ubabe huo usio na maana.
Yanga ndio mdudu gani?. Hivi huwezi kupata habari za yanga mpaka ziandikwe na Shaffih?. Mwambie Kitenge nae aanzishe blog ili asiwe anakupepesea macho kwenye habari za Yanga.
Alifanya kosa pale igunga kwenye kampeni, upepo ulipeperusha shati lake hadi bastola ikaonekana hadharani. Alihukumiwa jela lakini alikuwa huru kwa msamaha wa JK.
Yapo majina yanayoendana na maisha ya mtu. Mfano watu wanaopewa majina ya (Shida, Matatizo, Tabu, Masumbuko) hawa waangalie kwenye maisha yao utawakuta wana vipindi vichache sana vya kuwa na furaha kwani maisha yao huwa yanaendana na maana ya majina yao. hivyo wazazi tuwe makini na majina...
Kuwa na mpenzi anayesoma chuo yahitaji uvumilivu, Mimi nakumbuka nilipokuwa chuo kulikuwa na wasichana kama 8 ambao walikuwa wanasomeshwa na waume zao wa ndoa. Lakini ni dada mmoja tu mwenye asili ya kiarabu ndiye aliyekuwa mwaminifu. Wengine wote watu walikuwa wanajisevia, ilikuwa tukimaliza...
Keshapata msomi mwenzake wa kumuoa huyo. Wewe amekugeuza ATM kaka. Kama ulishajitambulisha kwa wazazi wake, unaweza ukawaheshimu wazazi wake kwa kuwapa taarifa za kuachana nae. Pia huyo demu piga chini mapema, akufai, waachie wenye magari wachukue mzigo.
Pole sana. Tatizo kama hili ni vizuri uwashirikishe wale waliosimamia ndoa yenu, wazazi wa pande zote na hata ikibidi wachungaji wenu. Linaweza kukuweka huru kwenye nafsi yako. Usikae nalo tatizo hili wewe mwenyewe, litakukondesha mno. Japo unapaswa pia kutambua kuwa 80% ya wanaume huwa na...
Kweli bro, Hata mimi kwenye ndoa yangu huu mwaka wa 10 sasa huwa staili ni hiyo tu, Lakini maisha yanaenda, upendo kwa sana tu. Ila siku ninazoibia nje ya ndoa staili huwa tofauti kabisa na kifo cha mende!. Ni madoido ya kila namna. Ninapoyafanya haya manjonjo home, mwenzangu wala hayapendi...
Wana JF nimekutana na hii kitu kwenye blog ya Dina marious. Huyu jamaa mwenye umri wa miaka 48 anaomba ushauri;
Anasema tatizo lake kubwa linalomsumbua.Anasema yeye na mkewe wamekuwa pamoja kwa miaka 25 ya ndoa lakini amegundua hajawahi KUMPENDA MKEWE.
Anasema alikutana na mkewe wakiwa...
Mbali na JK kutangaza marekebisho ya mawaziri wake leo,
Mkuu wa Wilaya ya Mbozi mkoani Mbeya Gabriel Kimolo amejiuzulu wadhifa wake wa Ukuu wa Wilaya ya Mbozi kwa kile alichosema kukosa ushirikiano na Wizara ya Kilimo Chakula na Ushirika ikiwa ni pamoja na kuchelewesha kupewa uteuzi mpya...
Subiri safu mpya ya ukweli ya Mawaziri sikivu na wenye kufanya kazi kwa umoja kama mchwa. Hii miaka miwili iliyobaki wote mtaanza kuipenda CCM kwa mambo mazuri yatakayokuja kama upepo wa kimbunga. Shaka ondoa kaka.
Majembe yapo mengi tu. Kama Filikunjombe, Mwakyembe, Magufuli na wengine rundo tu hadi raha. Hivi nyie wapinzani hamjui kuwa CCM ndio baba yenu tena imewalea hadi mmeota masharubu?.
Poleni na maumivu. Kweni JK ndiye aliyesoma hukumu?. Mmelizwa na jaji baada ya kuona kahushahidi hakatoshi. Nawashauri mjipange upya kukata rufaa. Hongera waziri mkuu mtarajiwa makongoro kwa ushindi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.