Sio kila mtu lay man wa sheria kama wewe kaka .we kaka hivyo hivyo,anyway nipe kifunga cha sheria kinachosema hivyo tuazie hapo kwanza kwa mtumishi wa Umma.
Kijiji cha Nyatwali wilayani Bunda kimetwaliwa kwa Mujibu ya Katiba wananchi hao waligoma kuhama lkn Serekali ikasema ni lazima wahame kwa manufaa ya Umma na kupita kila Nyumba na kuweka number za kuwahamisha,na kuwafanyia tathimi kwa nguvu,sasa imepita Mwaka mzima hakuna cha fidia wala nini,na...
Sio huko tu kuna kijiji cha Nyatwali huko Bunda wamefanyiwa tathimin lkn malipo ni hadith,wananchi maisha yao yamekua ya ovyo maana hawajui kesho yao.Serekali hawajali kabisa maisha ya watu.
Hawana hela ya kulipa Watu hao,serekali inanyanyasa watu bure,wanakijiji wa nyatwali wanateseka saana wemevuiwa shughuli zote za mawndeleo hawana chakula njaa kali pale nyatwali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.