Nilikua nafatilia mkutano wa bunge la katiba alivoanza kuongea Tundu lissu tbc wamekata matangazo na kuweka hotuba ya JK kitu ambacho sioni kama kina faida chonde chonde other media jitahidi kuonyesha mikutano hii live mbona wenzetu wakenya waliweza
Kampuni ya microsoft imeinunua kampuni ya simu ya nokia na haki zote za kampuni hiyo. Zaidi ya wafanyakazi 32,000 wa nokia wote wataajiriwa na kampuni ya microsoft.
-----------------------------------
My Take
sisi na vinokia vyetu vya tochi itakuaje
Wao wakiua hata kama ni kwa makusudi watapindisha mambo kwel, lakin kwan nn sisi tukiwaua wanatukamata, nani anaejua kuwa sheria ipo mikononi mwa police mnatua silaha kutuangamiza wakati mnalipwa mshahara kwa kujumu la kutulinda sisi na mali zetu
Nimefurahishwa sana na wimbo ulioimbwa na alaiki ya watoto zaidi ya 200 wameisifia Tanzania kwa kila hali kwa umakini na ukakamavu mkubwa naimani hii haitafutika katika kumbukumbu zao. Na hakika hakuna mtoto hata mmoja wa skul bus pale.
Nimepita mahali gari ilipopata ajali inaonyesha gari lilipinduka upside down lakin sasa limeinuliwa sababu limegeuka lilipokuwa linatoka na limeumia sana upande wa mbele, platenumber hazipo sasa sifaham maofisa wa usalama barabarani wamezitoa au la! bahati mbaya sikuweza kupiga picha nipo kwenye...
Kila mahali au kijiwe ninachokaa hasa mida ya asubuh na jioni nasikia watu wakimsema huyu bwana kwamba siku hizi hawataki kusikiliza kipindi cha Jahazi eti kwa sababu Kibonde amekua akitetea mambo ambayo dhahili yanaonyesha si ya kuungwa mkono, juzi kuna mtu kaweka thread hapa kuhusu tangazo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.