kwa kawaida mwanaume kipaumbele chake ni heshima sio kupendwa au kubembelezwa. Ukiona anaweka mbele kupendwa au kubembelezwa ujue ni tatizo, ana mambo ya kike kike
unaongea kitu gani wewe? Hata Idd Amin, Hitla, Musolin bado wanaishi kwenye mioyo ya watu kwa maana kwamba bado wanakumbukwa. Hatukumbuki waliotenda mema tu, hata waliofanya fyongo tutawakumbuka, so sidhani kama utaweza kujifanya eti usimkumbuke Magufuli. Kwa mazuri or otherwise utamkumbuka tu!
Hawa kikuu siwaelewi kwa kitu kimoja. Kwa nini soko limejaa tu nguo, urembo na vitu vidogo vidogo na hakuna vitu vikubwa kama zana za kilimo na viwanda? Je ni kwa sababu wanaona sisi hatuna uwezo wa kununua? Wanakwepa gharama za usafirishaji? Serikali inawabana au ni nini hasa?
Maana na sisi...
Atengeneze juisi kwa kutumia karoti 4, majani mawili ya seleri, robo ya fungu la mchicha na robo ya fungu la giligilani anywe mara moja kila siku. Hata akinywa mwaka mzima hana hasara ilimradi apone.
Ni kujitekenya na kucheke. Niwakumbushe watakaosombwa na malori kuandaa nauli ya kurudi makwao maana malori hayatawarudisha [emoji16][emoji16][emoji16]
Laiti kama ujinga ungekuwa unaondoka kwa maombi, ningeshauri zitangazwe siku tatu za maombi ili kuombea ujinga. Lakini sasa kwa bahati mbaya sana dawa ya ujinga si maombi. Kinachonisikitisha si tu kwamba sisi ni wajinga, bali zaidi sana ni vile ambavyo watu wamechukua ujinga wetu na kuufanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.