Huu ndio ukweli,tukikubali serikali 3,hakuna muungano tena.Nitakuwa wa kwanza kuuvunja. Huko nyuma kabla sijasoma kitabu cha mwalimu,nilikuwa na maswali mengi kwa nini tuna serikali mbili ambazo tunadai kuna muungano?Tumeungana nini sasa? Si kwamba hatuwatendei haki hawa ambao tumewapora...
UTANGULIZI
Kutokana na mgomo wa madaktari uliotokea kati ya tarehe 23 na 29 mwezi juni 2012.Wizara iliwasilisha malalamiko kwenye Baraza la madaktari Tanganyika ili lifanye uchunguzi kuhusu madaktari hao .Idadi ya madaktari wote waliogoma walikuwa 394, kati yao madaktari 376 walikuwa ni...
Nasikitishwa na kuwa na waatu wasioelewa na kuongea.Moja bila utafiti huruhusiwi kuongea ni kauli mbiu iliyopo ssijaiweka mimi.Sasa kaka nenda pale muhimbili agiza I/V Metronidazole jibu ni o/s.Nimetolea mfano mdogo tu wa hiyo dawa ndogo sana ila yenye matumizi makubwa surgical wards.Unataka...
hawa jamaa bwana sasa huwa najiuliza wanamdanganya nani.Mara ya kwanza ilikuwa ni haya haya wakaumbuka.Na huyu mkuu wa mkoa wa DSM sijui ni nani kama eligaesha.Last tym alienda kwa sherehe za wanawake kuongelea ati hakuna mgomo na ameweka polisi kuwalinda madaktari wanaofanya kazi...
Pole sana kusema kuwa hawatakiwi kugoma unakosea,hawa watu wanahitaji basics katika maisha yao.Ningekushauri ukasome historia ya utabibu ndo ungeweza kuwaelewa wanaishije leo. Lakini kwenye msafara wa mamba hata kenge wanakuwemo sishangai.
Viongozi wanapokosa utashi wa dhati,haya ndio majibu yake.Mgomo wa madaktari umeandaliwa na wamejipanga kwa kutoa taarifa karibia kwa kila jamii.Tuwaelewe,niko nao kwa mikono na miguu yote.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.