Kweli saccos mbali sana huko ni mpigi mabwe pande mimi nipo magoe center kama unaenda kibamba ccm ya zamani kuna umeme na maji ya dawasco, bar za kumwa
HABARI NJEMA
NAUZA VIWANJA SQURE METER MOJA TSHS 19500/= MAENEO YA MPIGI MAGOE MBEZI KM 7 MPAKA STAND YA MAGUFULI UMEME NA MAJI YA DAWASCO YAPO.UKUBWA WOWOTE UNAOUTAKA..(DALALI ANAKARIBISHWA 10%) MWENYE KIWANJA 0713669533
KARIBU WOTE
Ukubwa tofauti tofauti
60×45, 30×20, 20×20, 60×55, na 70×70...
HABARI NJEMA
NAUZA VIWANJA SQURE METER MOJA TSHS 19500/= MAENEO YA MPIGI MAGOE MBEZI KM 7 MPAKA STAND YA MAGUFULI UMEME NA MAJI YA DAWASCO YAPO.UKUBWA WOWOTE UNAOUTAKA..(DALALI ANAKARIBISHWA 10%) MWENYE KIWANJA 0713669533
KARIBU WOTE
Ukubwa tofauti tofauti
60×45, 30×20, 20×20, 60×55, na 70×70...
Wana member
MSAADA NATAKA kununua Motor sijajua hizi za kichina zipi nzuri. Ana SIZE NA SPEED GANI ifungwe kwenye kinu SIZE 75 Cha kusaga na kukoboa ROLA tatu. Kiwanda kitasaga na kuuza unga na pia kuwasisha vikapu.
MSAADA wa haraka tafadhali
Mwenye mahindi anione fikra hizi adhimu
Habari member wote naomba kujuzwa kuhusu Motor Hp 30 Je RPM ambayo ni speed yake ni ipi speed inafaaa kuendesha motor ya hp 30 kwani hapo ndio mtihani kwangu nataka kununua na je ipi zinafaaa maana za kichina zipo nyingi je jina gani la kichina ni nzuri
Pili msaada mwengine naomba msaada kinu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.