NCHI HII MPAKA HAPA TULIKO IMEJENGWA KWA KUTUMIA MAWAZO YA WATU AMBAO HAWAKUA WASOMI NAO WALIWEZA KUWEKA MISINGI IMARA SANA NA TUKAWEZA KUIHESHMU JE?
Kwa sabbu katba tuliyo kuwa tunaitumia imeundwa kwa mawazo ambyo ya watu ambao hawakuwa wasomi na kama walkuwepo walkua wachache ila wengi...
Hapo kwanza tujue kuwa mtanzania yeyote yule mwenye akili timamo ni usalama wataifa.Nasema hv kwa sabbu vko vtendo vingi vinafanyika vya kuihujumu nchi na vinasabbsha nchi iingie kwenye hasara kubwa sana. Vitendo hv kama wananchi wangejua haki yao ya kutoa taarfa nchi yetu ingekua mbali sana.
Hili tatzo kwa upande wangu lilinisabbisha nisisome Medicine ikabdi niende koz zingne kisa eti serikali haina hela, na huku hela zingne wanafanyia tu matumzi yasiyo ya lazma.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.