mama terry yupo dar. Anakamilisha taratibu za mwisho za kuanzisha kipindi chake chini ya kampuni yake inayoitwa Brightlight Reality Show Company. Kipindi kitaitwa Ndoto yako reality show na kitaanza kurushwa kwenye television ya TBC1 hivi karibuni.
Poleni na majukumu ya kazi wana JF. Mie nina swali nataka mnisaidie kujibu, wale ndugu zetu watangazaji wa kipindi cha power breakfast cha clouds fm, masoud kipanya na fina mango wapo wapi siku hizi maana hatuwasikii ati? Naomba kujua walipo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.