Kuna watu huwa wanajiona special utasikia hivi kwann unatumia Facebook au Instagram. Wanasahau kwamba the most usable social network ni fb na the like.
Ni ushamba wa vijana mkuu, majuu huko watu wanatoka ofisini na suits wanaacha makoti lounge wanapata vinywaji wakiwa mkanda nje na kudance, huku wapori pori wanavaa masneaker meupe na matshirt meupe ili mataa ya club yareflect mwanga ule awe anang'aa kama taa, pisi nazo zinapaka rangi za kucha...
Hahaha I'm 35 huwa nikiwa club sielewi kabisaaa naona madogo wa siku hizi wanavaa ma t-shirt marefu meupe ili wawake sijui, ndio shida ya huku vijijini ila town unakunywa vinywaji vyako hotels, pubs na pisi unadaka you feel comfortable.
Miaka 30+ ndio mwanaume anaanza kujipata Pata na pesa ya kutanua na kula starehe inaanza kupatikana. Ndio muda sahihi wa kuwatumia hawa watoto na wenyewe wanapenda watu wa kuanzia umri huo uhakika wa vinywaji, chakula na pesa nzuri asubuhi ni uhakika.
Acha wanga mkuu, philosophy sio kuwafanya Malaika waishi kama mashetani Bali ni kuwafanya mashetani nao waishi kama Malaika. Kwanini hujafikiria hiyo serikali makini ikiingia madarakani isiongeze posho kwa watumishi ambao hawana posho? Baada ya jiwe kukick the bucket, mama alituanzishia kaposho...
Baada ya kuona sister yangu nnaemfata akichoropoa mimba kama mbili hivi na mimi kipindi hiko msuli wa Biology umekolea nikajisemea ntatembea na principles 2 tu maishani mwangu.
Mosi kama mwanamke ntaekutana nae kipindi niko tayari kuoa ni bikira nitaoa huyo bila assurance ya mtoto.
Pili, kama...
Mleta thread ka fall into naija boys trap ndio maana katafsiri uzi wao kwa kiswahili ili kuirusha Nigeria kama ambavyo wanataka waonekane wako vyema kila nyanja.
Food security ndio key issue kwa watu wanaokadiria kufikia billion 8 duniani. Hawajakurupuka Hao economic giant individuals kujiingiza kwenye kulima na kufuga, mark Zuckerberg ameanzisha largest farm where he feeds his dairy cattle macadamia plants and drinks his cattle beers 🍻 😀
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.