Wilaya ya Kyela boko wapo sana hasa maeneo ya kata ya Lusungo. Hao viboko huwa wanaenda hadi Mponda na Mbeje (Ipinda).
Kuna siku mwaka 2017 mwezi wa 1 nilikuwa Matema Hospital walikuja viboko wawili mchana kweupe wakawa wanaogelea ziwani.
Umetumwa? Wewe ndo utuombe msamaha kwa kutuletea mawazo yako ya kizwazwa kama haya.
Maneno mengi kumbe hujui hata ipi ni haki na kipi kinahitaji hisani.
Habari wanajamvi...
Hivi juzi nilikutana na mtwasi mwenzangu na tukawa na stori za hapa na pale kuhusu maisha. Katika mazungumzo tukagusia maendeleo ya watoto shuleni.
Jamaa ana watoto wa kiume wanne na akawa analalamika kuwa watoto hawako vizuri shuleni. Ni wazito sana kuelewa masomo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.