Makamanda wa Chadema ninawaarifu kuwa chama katika Wilaya ya Karatu watafanya Mikutano Mikubwa katika Tarafa ya Endabassh, Karatu na Eyasi.
Mikutano hiyo itahudhuriwa na Mhe. Israel Natse Mbunge Mwenyeji Jimbo la Karatu, Mhe. Zito Zuberi Kabwe na Tundu Lissu. Pamoja na Wabunge wa Viti Maalum...
Hongera Kamati kuu ya CDM maamuzi mliyofanya ni ya maana sana. Hapa Karatu kuna baadhi ya madiwani wamekuwa miungu watu, kazi yao ni kwenda kufanya vikao na watu wa Chama cha Mapinduzi ili kuvuruga CHADEMA hapa Karatu. Mara nyingi Uongozi wa CDM wilaya ya Karatu imetoa taarifa kwa Kamati kuu...
Viongozi wa Chadema wasimamishwa Wilayani Karatu. Viongozi hao ni Katibu wa Wilaya Bw. Laureti Malkio Botha, Mwenyekiti wa BAVICHA Wilaya Bw. Joseph Samwel Mtui na Katibu wa BAWACHA Wilaya Bw. Melkiori D. Mao
Mimi binafsi nimesikitishwa sana Kwa Mhe. Huyo Mbunge wa CCM - Bahi kupokea rushwa ili kupindisha ukweli kuwa uwongo. Hivi kweli kama hospitali haikujengwa hakuna madawa, barabara mbovu nk. kwa stahili hiyo nani atakuwa mtetezi wa Wananchi? Hawa magamba! tumekwisha.
Loe tarehe 20 May, 2012 Mbunge wa Karatu Mhe. Mchg. Israel Y. Natse katika Kampeni ya Kuvua gamba na kuvaa magwanda ameavua gamba mabalozi 20 wa CCM na kuwa ingiza katika Chadema wanachama wapya zaidi ya 620. Kadi ziligawiwa hadi giza kwa ajili msururu ya watu kuwa wengi. Makamanda wa maeneo...
Wapendwa wana JF habari za muda.
Ni kweli maandamao yamefanyika katika Jimbo la Karatu ili kumpokea Mb Viti maalum Cecilia Daniel Paresso.
Mimi ninapata shaka katika hilo lililofanyika, Hivi maandamano ni ya nini? Kulipia Pango la Chama hadi utangaze hadharani? kuwasomesha watoto 100 kwa Tsh...
ndugu wana JF na Watanzania kwa ujumla wenu, tutegemee nini kwa baraza hili jipya la Mawaziri. Mimi ninaona ni Themos tu lilibadilishwa lakini chai ni ile ile. Mimi binasfi nilitegemea kuwa Wale wabunge machachari kama wa Ludewa angestahili kuwa Waziri kwani anatetea wananchi wa hali ya chini...
Makamanda wa Chadema na Watanzania kwa Ujumla aliyevaa kiatu cha Dr. Slaa Katibu Mkuu wa Chadema, aliyegombea Urais 2010 amefanya mambo mengi sana katika Bunge la Tanzania. Huyu si mwingine bali ni Mhe. Mch. Israel Yohana Natse. People's Power.
Ndugu zangu niwauliza ninyi Vijana wa Chadema Karatu, mliokomaa kisiasa mnafanya maandalizi ya maandamano ya kumpokea Mbunge wa Viti Maalum Mhe. Cecilia D. Paresso hasa kwa kitu gani?
1. Wabunge wa Viti maalum wapo sehemu nyingine hilo limefsnyika?
2. Mnafanya maandamano hasa kwa kipi...
Hivi wanaposema Baraza jipya la mawaziri maana yake ni nini?. Kama ni hao nane si kiasi cha kuwateua wapya nane? au atavuruga hata wizara zisizo na shida.
Naomba mnihabarishe
Ndugu nisaidieni kwa unadani zaidi bila ushabiki bila hila. Tufanye nini ili Serikali iwe sikivu kwa kuwaondoa mawaziri wasiojali wananchi? Je maandamo ya nguvu ya uma peke yake itatosha? au itafutwe mbinu mbadala wote tuende kuishi Ikuli watulishe walishindwa kutulisha Serikali yote itajiuzulu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.