Search results

  1. M

    Bodi ya Mikopo yatesa watumishi wa Serikali

    Hakika bodi ya mikopo ya Elimu ya juu ni wezi kama wezi wengine. Sent using Jamii Forums mobile app
  2. M

    Rais tunaomba utusaidie wananchi kulipwa ng'ombe wetu kutoka ranchi ya Nangaramo iliyopo Nanyumbu mkoani Mtwara

    Pole kwa majukumu ya kila siku Mheshimiwa Rais. Mimi na watanzania wenzangu tunaoishi katika Mkoa wa Mtwara na viunga vyake tunaomba utusaidie kupata ng'ombe wetu ambazo tunawadai kutoka Ranchi ya Taifa ya Nangaramo iliyopo Nanyumbu Mkoani Mtwara. Wananchi tunadai ng'ombe wa maziwa kutoka...
  3. M

    TAMISEMI wanadai wamesitisha uhamisho mbona Wafanyakazi wanahama kwa kulipia kuanzia Tsh 700,000 mpaka 1,000,000?

    Kwani amekuambia kuwa yeye ni Mwalimu? Acha uchizi na kudhalilisha Walimu. Kumbuka hao ndio waliokufanya uweze kuandika upuuzi huo.
  4. M

    Je,wanasingida tunanufaika nini na ziara ya Tundu Lissu?

    Wewe ni miongoni mwa watu wanafiki katika nchi hii. Hivi huwa mnapata faida gani kwa ujinga huu?
  5. M

    Serikali itulipe watumishi madeni yetu kama ilivyotuahidi

    Ninaomba serikali chini ya uongozi wa Mh. Rais John Magufuli kulipa madeni ya watumishi wa umma kama ilivyoahidi. Madeni hayo kwa kiasi kikubwa hayajalipwa hadi sasa licha ya Rais kuwaahidi watumishi kuwa atafanya hivyo baada ya kukamilika kwa zoezi la uhakiki wa madeni hayo. Tunavisihi vyama...
  6. M

    Ni marufuku kuimba wimbo wa Taifa bila kibali maalumu cha Wizara ya Mambo ya Ndani

    Hivi ni nani anastahili kubeba lawama juu ya hizi rangi katika Bendera ya Taifa? Kama rangi ya Njano haipo basi serikali ibadilishe haraka bendera ya Taifa kwa kuondoa rangi ya Njano na kuiweka hiyo ya dhahabu. Pia Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknolojia ishirikiana na Taasisi ya Elimu Tanzania...
  7. M

    Wabunge washangaa sheria ya mafao, wasema kipengele cha mstaafu kulipwa 25% na 75% kwa miaka 12 kilifichwa

    Binafsi huwa ninawachukia sana wabunge wa CCM kwa tabia yao ya kuitetea serikali badala ya kuwatete wananchi wao. Hili la mafao ya wastaafu hawazezi kukwepa lawama. Na hivi vyama vya wafanyakazi navyo vimekuwa sehemu ya kuwakandamiza na kuwanyonya watumishi.
  8. M

    Wabunge wa CCM Mnafanya nini bungeni? Kwanini matumizi yanatolewa na Rais nje ya bunge?

    Nchi imefikia hapa ilipofikia kwasababu ya ujinga unaofanywa na wabunge wa CCM. Kazi yao kwa sasa ni kuitetea serikali badala ya kuisimamia. Walaaniwe woteeee!
  9. M

    Tetesi: Siku za Ndalichako zehesabika WEMU, TET wanamponza.Aandaliwa kupewa Ubalozi.

    Ndalichako ameshindwa kabisa kuisimamia Elimu ya watoto wetu. Suala la vitabu ni kashifa kubwa sana kwa Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia. Asilimia 40 ya fedha za Elimu bila Malipo zinabaki serikalini kwa ajili ya kununua vitabu,lakini hadi sasa mashuleni vitabu havipo.
  10. M

    Tetesi: Siku za Ndalichako zehesabika WEMU, TET wanamponza.Aandaliwa kupewa Ubalozi.

    Ndalichako ameshindwa kabisa kuisimamia Elimu ya watoto wetu. Suala la vitabu ni kashifa kubwa sana kwa Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia. Asilimia 40 ya fedha za Elimu bila Malipo zinabaki serikalini kwa ajili ya kununua vitabu,lakini hadi sasa mashuleni vitabu havipo.
  11. M

    Polepole: Tumeamua mwisho wa kupokea Wabunge na Madiwani iwe Novemba 15, 2018

    Hivi zile Milioni tano (5,000,000/=) kwa kila kijiji zimeshatolewa?
  12. M

    Tuendako kuna giza: Majaliwa anadai kupata kura kiduchu sababu ni watumishi wa umma kutokitetea CCM kama mwajiri wao

    Waajiri wa watumishi wa umma ni wananchi na siyo chama kama PM anavyotuaminisha.
  13. M

    Tatizo la Maji kuwa historia Liwale, Serikali yamwaga mabilioni ya shilingi

    Kwa jiografia ya wilaya ya Liwale hilo haliwezekani,ni uzushi na uzandiki.
  14. M

    Deni la Taifa la nje lashuka kwa zaidi ya trilioni

    Mmmmmh! Kwahiyo thamani ya dola ikipanda na deni litapanda siyo? Hii ni Alafu Lela Ulela au Hekaya za Abunuasi.
  15. M

    Bado inanishangaza Chadema kushiriki chaguzi,iingizwe kwenye maajabu

    Mh Zitto,kwani ACT-Wazalendo hawakushiriki chaguzi za Monduli na Ukonga?
  16. M

    NEC yatangaza Uchaguzi Kata 37. Yateua Madiwani watatu wa viti maalumu

    Hii ndiyoTanzania tunayoitaka,chaguzi kila siku.
  17. M

    TANZIA: Mama Mzazi wa Mbunge wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi (Sugu) Afariki Dunia

    Pole sana Joseph Mbilinyi (Mb) kwa msiba wa mama,yote mapenzi ya mungu. Tunamuomba Mungu ailaze Roho ya marehemu mahali pema peponi. Amen!
  18. M

    Waziri Mwakyembe awataka TCRA kufanya mazungumzo na Wamiliki wa Visimbuzi vya AZAM, ZUKU na DSTV

    Watunga sera wenyewe hawana weledi halafu unategemea watunge sheria zenye weledi?
Back
Top Bottom