Hakika nchi imefika hatua mbovu. Sasa wabunge wanasikia hawasemi wanasubiri baadae wakaibue hoja bungeni baada ya nchi kuwa imekwisha pata hasara na wao waonekana kuijali nchi. Kama hamuamini subirini baada ya miaka 2 mbele hasa nyakati za kampeni za mwaka 2015.
Kweli mkuu. Mpesa ni wazuri za hata customer care wako serious na kaz. Nimeshawah kutuma pesa kwa kukosea namba na kuwasiana nao hata masaa 3 hayafik wanarudisha pesa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.