Diwani CCM Siha Kilimanjaro Akutana na Sauti Mungu" Diwani wa Kata ya Kashashi Jimbo La Siha Mkoani Kilimanjaro Suzan Kihundwa CCM" alijikuta katika wakati mgumu Katika kijiji cha Lokiri kitongoji cha Ngabobo Kinachoongozwa na mwanadada Agnes Kileo Chadema .Diwani huyo alipokuwa akiongea na...
Diwani CCM Siha Kilimanjaro Akutana na Sauti Mungu" Diwani wa Kata ya Kashashi Jimbo La Siha Mkoani Kilimanjaro Suzan Kihundwa CCM" alijikuta katika wakati mgumu Katika kijiji cha Lokiri kitongoji cha Ngabobo Kinachoongozwa na mwanadada Agnes Kileo Chadema .
Diwani huyo alipokuwa akiongea na...
HALI ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) imezidi kuchafuka kufuatia vigogo wa serikali kutuhumiwa kuhusiana na kampeni chafu zikiwamo rushwa na fitina, ambapo katika hali isiyokuwa ya kawaida, mmoja wa mawaziri machachari wa serikali ya Jakaya Kikwete amekataliwa asigombee nafasi nzito ya uongozi...
Nyerere alipo sema Ikulu ni mahala patakatifu alimaanisha Uwazi Uwajibikaji na Demokrasia ya kweli ila kwa sasa ikulu imegeuka mahali kwa pakupanga mikakati ya kuwaibia watanzania ILA UKWELI UTAJULIKANA SIKU MOJA NA HAKIKA WATAJUTA KUWA RAIA WA TAIFA HILI MASIKI NA TAJIRI KWA RESILIMALI
BWANA AMETOA BWANA AMETWA JINA LAKE LIHIMIDIWE Mwenyekiti wa baraza la vijana siha kafiwa na shangazi yake
mipango ya mazishi inafanyika Dar na NAWERU SIHA tumfariji kamanda wetu imma
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.