Anahitajika mdada anaejua masuala ya saloon. Ajue kusuka mitindo yote hasa yeboyebo. Saloon ipo Tabata Segerea. Itapendeza zaidi akiwa anaishi Tabata. Malipo ni maelewano. Email ya mawasiliano ni.. lulandala7@gmail.com
We acha hizo bwn. if u dnt wnt to help thn keep quite coz being a university student doesnt mean that u have evry thng. so my young doest have a phone/laptop whch supports internet, and i have a phone with internet thts y um helping. acha fikra mgando.
Mdogo wangu yupo mwaka wa pili Chuo cha Mzumbe, Kozi ya "Procurement and Logistic Supply'. Naombeni msaada wenu. Field zinaanza mwezi wa saba. lakini barua za kuombea zimetoka. Asanten
Sion kosa la huyu mtoto. Kupenda si dhambi. Watoto wanawah kukua na hisia zinawahi vilevile. Ila ukisikia mtu amekusaliti ndio unaua!!!! Ili nini??? Wanaume badilikeni. km hela zinakuuma usitoe, mtu maisha magumu afu bado anahonga!! Achen wenye hela zao wahonge. Apo huenda hela alizohonga jumla...
Hatimaye nmepata kazi kupitia hapa. Ushauri ni kwamba; kwa wanaotafuta kaz msipende kuchagua post. wewe ukiona post ya kazi tuma maombi. u never know. Mimi nliapply tu bila hata kujua mahali ofisi ilipo hadi siku ya interview ndipo nkaelekezwa. na sasa ni muajiriwa wa hiyo kampuni, tena ni kubwa...
Jaman nna shida na rum. Iwe kubwa, nymb yny maj na umeme. Mitaa ya Kinondon, Sinza au Ubungo. Naomba anayemjua dalal au km binafsi unajua rum ilipo plz naomba uni pm ili tuwasiliane kwa simu. Asante
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.