Ukiona mtu anashabikia chanjo
1. Kala fungi la dola za wenye corona.
2. Ni mjinga na ujinga wake umesababishwa na hofu zinazotolewa Kila siku na mawakala wa corona
Mleta hoja sijaona hoja yako inalenga nini uko kwenye hoja ya ubunge kaupataje au uko kwenye hoja ya chanjo. Ubunge kachaguliwa na wananchi wa kawe. Kuhusu chanjo mpaka sasa haieleweki kuwa ni salama. Maana Kuna vitu vingi nyuma ya chanjo. Na wanaotetea chanjo wake na hoja kabambe kutetea hiyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.