Kwa kuwa UKAWA ni watetezi wa wanyonge...naimani Mungu atazidi kuwakumbatia na kusambaratisha roho ya utengano..MATHAYO 5:9 "Heri wapatanishi; maana hao wataitwa wana wa Mungu"
Ndugu zangu, naomba kufahamu kwa sisi ambao hatujapata mkopo kama kuna taarifa ya awamu nyingine ya majina ya mkopo... truly tunnaumia sana na kuhisi kutopata chance ya kuendelea na masomo.
Kwa aliye na taarifa NTASHHUKURU KUJULISHWA
Hapa MUCE kuna foleni za kufa mtu kuanzia asubuhi hadi jion.... Sijui kama mambo yanaweza kuisha mapema kama hakutakuwa na utaratibu mzuri wa kuwapokea mwaka wa kwanza
Wakati flan nakuwa na matumaini makubwa kwa hawa jamaa kwa kuangalia namna walivyojieleza kinagaubaga.... but kwa nini serikali imekaa kimya....? hata tamko?
Sponsors and supporters
ORGANIZATIONS
ROLES AND RESPONSIBILITIES
UNITED NATIONS VOLUNTEERS (UNVs)
This help...
Kaka tunakusubiri kwa hamu....kiukweli japo kuna roho ya kukata tamaa lakini bado nina ujasiri wa kupata mkopo..nahisi kuna majina yatatoka na langu likiwepo.... Mungu nisaidie
Jaman tunaweza kujaribu kwa hawa jamaa pia wanatoa... Home
Tatizo la elimu ya kujitambua ni shida kwa wengi wetu.... kwa kawaida elimu nidaraja ya kukuwezesha kutimiza karama na kipawa ulichopewa...elimu kubwa si uongozi...ufaulu mkubwa si uongozi....uongozi ni utashi na uwezo wa kuonyesha njia sahihi..... hili halihitaji uprofesa... chukua mfano mzuri...
Sidhan kama ni sahihi kudanganyana kwenye sehemu muhimu kama hii....hicho kinachosemwa hakiko coz tumejaribu sana bila mafanikio....tusitumie pressure waliyonayo wanaosubiri kuwayumbisha kimawazo
Ndugu zangu Watanzania, moja ya kigezo kwa mujibu wa maelekezo ya bodi ya mikopo nikuwa BODI itatoa mikopo kwa wanafunzi waliomaliza kidato cha sita 2010-2012....
Jaman vipi sisi watoto wa wakulima tuliomaliza miaka ya nyuma na tunahitaji kuendelea kwa sasa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.