Nikweli Mh..Rais amesema elimu bure.
lakini je! wewe mwananchi mwenzangu ambaye mtoto wako anasoma pale kantalamba sekondari unajua umuhimu wa mchango wako ktk shule hizi za kata.kama hujui nkujuze na kama umesahau nkukumbushe kidogo ,iko hivi shule hizi hazina waalimu wa sayansi wa kutosha...
Nikweli Mh..Rais amesema elimu bure.
lakini je! wewe mwananchi mwenzangu ambaye mtoto wako anasoma pale kantalamba sekondari unajua umuhimu wa mchango wako ktk shule hizi za kata.kama hujui nkujuze na kama umesahau nkukumbushe kidogo ,iko hivi shule hizi hazina waalimu wa sayansi wa kutosha...
Nimesikitika sana tena sana kusikia waziri anasema waalimu ametulipa madai yetu yote. Ngoja nijisemee mimi ni mwalimu wa shahada ya kwanza nimeajiriwa anzia mwaka 2008 nlikaa miezi 6 bila mshara,mwezi wa saba nilianza kupata mshahara cha ajabu mpaka leo sijalipwa madai yangu ya miezi 6 ya...
mheahimuwa DC,nakuomba utembelee wilaya yako, najua ww n mchapa kaz, uspo fanya kaz utaaibika kama juzi halmashauri ilivyo aibika mbele ya mkuu wa Mkoa Gama kwenye kikao na waalimu.napenda kukumbusha uziangalie shule kongwe kama elyamungo na machame girlys.machame imeoza hata kwenye rank haipo...
wana jamvi kitendo hiki chakinyama kimensikitisha sana...na hii nikutokana na mauwaji yanayo fanywa na polisi husika kuto kuchukuliwa hatua mfano mauaji ya arusha na yajuzi moro....polisi hawa laiti wangewajibishwa na wengine wange jifunza,,,sasa kama serekali haita shuhulikia hili itabidi...
wakuu hawa walipenda shule na wanafunzi wao,wakuu wasmuhizi matakwa binafsi na fitina mfano mkuu wa machame girlis secondary kakalia ubabe na fitina watoto wanafeli na waalimu kuhama kila siku wazamani dhahabu bwana.
Ni muda sasa tangu tusikie malalamiko kuhusu shule hii; Leo na mimi acha nifunguke..msomsji WA uzii huu utakubaliana na Mimi kuwa shule hii imepote kwenye ulimwengu wa Elimu ukilinganisha na shule nyingine kama Ashira, weruweru nashule nyingine, Haya ni matokeo ya mkuu wa shule ambaye hana uwezo...
mgomo wa nukia chuo kikuu makumira kutokana na ungozi wa chuo kutaka kuwajeuza wana chuo kuwa mtaji baada ya kuanzisha ulipaji wa lazima wa Tsh 60000 za matibabu kwa kila mwanafunzi kwa mwaka.pesa hii kwanza imekuja kati kati ya mwaka na mbaya zaidi hata wafanya kazi na wategemezi wenye bima ya...
nimeshindwa kuelewa jinsi omari nundu na naibu wake jinsi wanavyo ongoza ofisi yao,naibu anaenda safari bila kuwasiliana na bosi wake na bos ana nyamaza mpaka aambiwe ajiuzulu ndio anasema hawaelewani,,,swali hawa watu wawili kama hawaelewani watafanyaje kazi wawili,watu kwenye wizara watafanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.