Kwa hakika ni kisa chenye kufundisha sana kwa watu wote na tukumbuke kwamba UKIMWI upo na tuchukue tahadhari sana kwa maisha yetu.Binafsi nimejikuta natafakari sana mwelekeo mpya kwa janga hili la UKIMWI.
Ama kwa hakika hadithi hii inafundisha sana kwa wote wenye tabia hizo za UKWERE.Lakini kwa wote ni kisa kizuri kutafakari mwelekeo wetu sote.Asante mleta mada
Pole sana kwa jinsi ulivyo umia lakini yakupasa ujipe moyo,maisha ni zaidi ya ya GPA.utafanikiwa endelea kusaka fursa zingine na zaidi mtangulize mungu kwa kufanya maombi kwa kila unalotaka hakika kwake kila jambo ni jepesi.Bongo mambo mengi yanaumiza akili sana angalia usijipe msongo wa mawazo...
Umejitahidi kiasi flani katika kufikisha ujumbe ingawa ungefafanua zaidi ni wakati gani muafaka,usiku.mchana,asubuhi na je?msongo wa mawazo hauwezi kuharibu mwelekeo wa mtu kutafuta aina ya mtoto amtakae?
Hongera sana jeshi letu kuendelea kuleta ukombozi,hata hivyo kila hatua inayofikiwa katika mapambano haya ni muhimu sana ikalindwa kwa umakini wa hali ya juu.Ikumbukwe hawa wanaojiita M23 wapo huko na mabwana vita wao kwa muda na wamekuwa kila siku wakibadili majina mbalimbali, muhimu kwetu ni...
Nakubaliana na wewe kwa kiwango fulani, sababu Utegemezi wa kuamini Ufanyiwe kila kitu na ndugu yako kisa tu yeye ni mkubwa kwenu hukufanya Ubweteke na kushindwa kutafuta chako.Wengine ni wahanga wakubwa sana katika hili na mtizamo huu umekuwa ukitafsiriwa vibaya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.