kwa kawaida tu kwa ubongo wako mdogo hauwezi kabisa kuelewa kazi yangu kifupi unatakiwa kuelewa kipindi chenyewe hauwezi kulazimisha unavyo taka wewe kipindi kinalenga sana katika kuelimisha na ucheshi mwingi hio ndio maana nzima ya kipindi chenyewe tatizo kama haujatuliza akili hakuna...
tusiingize dini kwenye hili jambo nazani mnajua magaidi ni watu wachochezi sana wanaingia kwa migongo ya dini lakini hawapiganii dini ni maslai yao tu tuwachunguze wanaosababisha haya ni nani kwa maslai ya nani kama nchi itaingia katika machafuko ya kidini ni nani wataumia na hiii ni akina mama...
watu wamechoka na siasa maisha ya watu ni duni sana yeye analipwa pesa nyingi sana kupitia ubunge kwahiyo anazani kila mtu anapata kama anavyopata yeye watu wanaona ni bora kufa kuliko soasa za uongo wanasiasa amkeni mtakuja kufa majukwaani angalieni ya kusema sio mnalozoka kama mmekula nywele.
Kuna watu wengi wamepona sukari kuna mzee anajua dawa ya kienyeji yupo boga ni baba wa rafiki yangu kama unaiitaji fika mwenge vinyagoni duka no 58 uliza mudi raisi anaweza kukusaidia.
Zitto ni mbunge wa chadema Slaa ni nani? je unajua mbunge hupatikana vipi je hao waliompa zamana ya kuwaongoza ni wa chama gani mimi ni chadema damu lakini ukiniuliza kuusu hawa wawili naona Zitto zaidi ya Slaa katika siasa labda kwa uongozi wa kanisa naweza kumpa Slaa kama atakuwa hana mke...
Mimi jamani nachoka kabisaa na siasa za hapa kwetu watu wanauchu wa madaraka pia wanauchu wa pesa naamini kuwa wasafi ni wachache sana katika ccm hata chadema sasa sijui nifanye nini nikisema nisipige kura najizurumu haki yangu nikisema nipige kula nawapa watu ulaji wa nchi yangu bora niondoke...
Ni bora muungano uvunjike nitafurahi sana mimi nimekaa unguja mika kumi nawajua wazanzibari vizuri sana ni wabaguzi sana kwetu huku wanakaa bila shaka kama ndugu kwao utawasikia baamkwe kutahama hapa si penu hawana maana hata kidogo angalia hata wakipanga kwenye nyumba yako hawataki kushea...
pole sana kwa kutapeliwa lakini kwa mimi nijuavyo siku zote matapeli huwafata watu wenye tamaa sana anakutamanisha na wewe kwa ujinga unatoa kama ni pesa au chochote kile anachokitaka na ndomaana kuna matapeli hadi wa mapenzi punguza tamaa hauta tapeliwa maisha yako yote.:eek2:
cdm ccm wote ni siasa tu siwakubali hata kidogo sisi hatutaki siasa tunataka maendeleo katika nchi yetu na si siasa ya cadema na ccm wote na hayawani wanatufanya tuishi maisha mabovu ni bora hiyo vita itikee tukaishi ukimbizini labda tutapata hafueni.
tunatandikana na nani sema bora vita itokee akina mnyika mbowe kikwete tundulisu makakamba yaani hawa wanasiasa wote wakale kuku ughaibuni sisi choka mbaya tuuwane au sio mwana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.