Hebu tuonjeshe "procedure" mojawapo ya jinsi wanavyotibiwa ili kukwepa kutubuliwa majipu?wanamsahaulisha Mkuu???basi picha ya Mkuu si itakuwa inatumika sana huko??
Pole sana watu wa mochwari.Mshana Jr.ulifanya kazi mochwari kwa kupenda au kwa kuwa Taaluma yako unayotupatia imechangia ww ufanye kazi huko?Nataka kujua tu.
Mbona niliangalia clip moja wakihojiwa na clouds TV..Idriss alikiri kumpima wema ujauzito bila wema kugundua na kugundua kuwa ni kweli alikuwa mjamzito..INA maana Idris naye aliwachezea watu akili?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.