Treni ya shirika la reli (TRC) inayofanya safari mikoa ya kaskazini yakwama maporini huku abiria wakikosa chakula na mahitaji mengine ya kibinadamu.
Treni hiyo iliyotoka Dar jana mchana kwenda Arusha ilitarajiwa kuwasili Moshi asubuhi saa 12 leo. Ila mpaka sasa imekwama katikati ya Korogwe na...
Toka juzi mfumo wa single window wa customs unasumbua kwa sababu ya mtandao.
Magari na mizigo ya Transit inashindwa kutoka bandarini kwa sababu ving'amuzi havisomi.
Nchi hii kila kitu ni tabu, hospitality tabu, umeme tabu, maji tabu.
Mapema mwezi wa saba mwaka huu Rais Samia alimteua FRANK KANYUSI kuwa mtendaji mkuu wa RITA. ikumbukwe kwamba bwana huyu miaka ya nyuma alikuwa mtendaji mkuu wa BRELA. Kipindi ambacho BRELA ilikuwa inanuka rushwa, kipindi ambacho watu wengi walidhulumiwa kampuni au shares kwenye makampuni mbali...
Nilikuwa mleta maombi kwenye shauri misc civil cause no 334/2021 dhidi ya Godbless Lema na mkewe, ambapo tar 21/06/2023 ulitoa uamuzi. Tar 22/06/2023 niliandika barua kuomba kupatiwa nakala ya hukumu, drawn order na proceedings. Baada ya kuja sana ofisini kwako, wiki jana nilipatiwa nakala ya...
Mbunge wa Hai SAASHISHA MAFUWE na baadhi ya wajumbe wa chama cha ushirika cha uduru wanatuhumiwa kuongwa kiasi cha shilingi 70,000,000/= na Mrusi aitwaye ALEX au ALTEZA, ili kutengenezea mizengwe muwekezaji wa Makoa Farm Mjerumani aitwaye Elizabeth ili mkataba wake na chama cha ushirika cha...
Kwanza tunataka TAKUKURU wanchunguze SAASISHA MAFUWe na baadhi ya wajumbe wa chama cha ushirika cha uduru kwa kutuhumiwa kuhongwa 70m kutoka kwa Alex (altezza) , ili Saashisha afanikishe dili la kuvunjwa kwa mkataba wa mwekezaji Elizabeth kwenye shamba la makoa farm na kupewa mrusi altezza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.