HAHAHAHAHAHAH mkuu umenifurahisha sanaaaaaaaa.........watapata shida kwa mzee Lowassa maana ni bingwa wa kugawa vijisenti.......wanachama wa chama cha kijani bwana siwaelewagi kabisa
Nipende kusema tu kuwa mimi siyo mwana CCM ila ntamuunga mkono Mheshimiwa E.L atakapoamua kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya Uraisi ndani ya chama chaka hata kama mgombea binafsi kama katiba mpya itakuwa inasema hivyo. Sababu za kukupa kura yangu ni nyigi sana. Kama una nia nikupe nguvu zaidi...
Hujaelewa, muda wa ukomo ni kwa sasa, wakishapita nchi nzima utaratibu huo utakua endelevu, ukisema wakae dar tu watu hawataisha maana naamin kila siku watu wanatimiza miaka kadhaa sasa wakifanya kusubiri hawatapiga hatua yeyote, chamsingi wanapita nchi nzima yaani kila mkoa baada ya hapo zoezi...
kwahiyo wabunge na viongozi wote wa CCM wanaodai wanataka kuuwawa wanataka huruma ya wananchi??nataka nifahamu mantiki yao kwakuwa Dr. Slaa katoa taarifa unataka mpaka mumtoe roho ndo tuanze kujadili? Tumia hata akili za jirani yako ukishindwa kufikiri kama zako zimestack'
Tutaona na kusikia mengi kipindi hiki 'CDM' hakuna kusikiliza hawa jamaa dhaifu kabisa tena hafifu sana. Wanashindwa kujenga hoja wanaleta viroja hapa.
Kweli CCM wameishiwa na wanatapatapa kwa kila njia......mpaka mwaka huu uishe tutaona na kusikia mengia.
Kila kiongozi wa CCM anapanga mikakati na maneno yake mwenyewe lengo' kuidhohofisha 'CDM' ila hawatafanikiwa.
Huyu mleta thread kamaliza form 4 na alipata '0' ktk shule moja ya kata, hata neno CV amelisikia tu hata hajui kirefu chake. Aisee ni (Curriculum Vitae) na CV ya mtu haihusiani na maswala ya uongoz kabisa kama ingekuwa hivyo 85% ya wabunge wasingekuwa mle ndani, hata JK asingekuwa Rais wa hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.