Search results

  1. JERUSALEM 2006

    Wa-Tanganyika tuamke, tulinde haki zetu

    Kosa moja halihalalishi jingine. Kama kuna namna wazanzibari waliminuwa wangeweka wazi na ushahidi ukawepo, Kimsingi bado hujajibu hoja yangu. Je, Wa Tanzania upande wa bara tuna nufaika vipi na muungano wetu?
  2. JERUSALEM 2006

    Wa-Tanganyika tuamke, tulinde haki zetu

    Naona wewe unapenda ubishi tu! Huna hoja. Ondoa matamanio yako binafsi na jibu hoja kisheria. Je? Kuna Mtanzania anayekatazwa kumili ardhi Mkoa wa Kilimanjaro kisheria? Au ni hisia zako tu? Kwa taarifa yako, kisheria Mtanzania Bara haruhusiwi kwa mujibu wa sheria kumili ardhi wala kuhombea...
  3. JERUSALEM 2006

    Wa-Tanganyika tuamke, tulinde haki zetu

    Bado hujajibu hoja, you’re just eating around the bush
  4. JERUSALEM 2006

    Wa-Tanganyika tuamke, tulinde haki zetu

    Acha kupotosha, hivyo ni vitu viwili tofauti. Wewe wa Mtwara unaweza kununua eneo Kilimanjaro, ukajenga nyumba aunukaamua kuwekeza kwenye Kilimo. Je? Unaweza kufanya hivi Zanzibar? Wewe wa Kilimanjaro unaeeza kugombea nafasi yoyote ya uongozi Mtwara na ukachaguliwa, Je unaweza kufanya hivi...
  5. JERUSALEM 2006

    Wa-Tanganyika tuamke, tulinde haki zetu

    Lakini pia wanatumia kofia ya Muungano kunufaika na mengi, hata ulipaji wa hiyo mikopo tutalipa sisi kama wabara, maana hata deni la Tanesco tu liliwashinda
  6. JERUSALEM 2006

    Wa-Tanganyika tuamke, tulinde haki zetu

    Marekani Muungano wao uko well elaborated na nchi mbalimbali zilijiunga kwa hiyari yao wenyewe, pia mgawanyo wa rasilimali na mamlaka unategemea zaidi uwiano wa watu katika jimbo husika
  7. JERUSALEM 2006

    Wa-Tanganyika tuamke, tulinde haki zetu

    Tatizo kubwa naona zaidi kwa wananchi kuliko hata wana siasa. Wamelala utafikiri nchi iko sawa, sijui tumerogwa na nani? Na inawezekana aliyeturoga ameshakufa
  8. JERUSALEM 2006

    Wa-Tanganyika tuamke, tulinde haki zetu

    Jibu kwa facts, ondoa hisia binafsi, tunataka majibu
  9. JERUSALEM 2006

    Wa-Tanganyika tuamke, tulinde haki zetu

    Hakuna wabunge mule, wanaangalia matumbo yao na teuzi tu, wapo wapo tu!
  10. JERUSALEM 2006

    Wa-Tanganyika tuamke, tulinde haki zetu

    Ok twende na Logic yako. Mtanzania mwenye asili ya upande wa bara anafaidika vipi na huu muungano? Kipi hasa anakipa akienda Zanzibar ambacho waZanzibari wakija bara wanapata?? Tusaidie hapo Mtaalam
  11. JERUSALEM 2006

    Wa-Tanganyika tuamke, tulinde haki zetu

    Wasalaam wana Jamvi! Moja kwa moja kwenye mada. 1. Hakuna watu wenye raha katika nchi hii kama Wazanzibari. Wao wana privillages nyingi sana katika taifa kuliko mwananchi wa sehemu yoyote. Wao ni kama wana wa Mfamle na Watanganyika ni vijakazi wao. Wana Uhuru wa kuishi upande wowote wa...
  12. JERUSALEM 2006

    Rais Samia asante sana, shikilia hapo hapo

    Kwa mara ya kwanza jana (tar.17/07/21) nilipata joto halisi la ongezeko la kodi katika miamala ya simu za mkononi. Niliumia sana kwani nilishindwa kutoa kiwango fulani cha pesa kwa ukosefu wa hela ya kutolea. Lakini katika tafakuri yangu, nilijikuta namsifu sana Mhe. Rais Samia kwa ujasiri wake...
  13. JERUSALEM 2006

    Sekretarieti ya CCM mnafanya mikutano ya hadhara kama wabunge wa wapi?

    “Kwa sasa tunaruhusu mikutano ya ndani, isipokuwa kwa wabunge wenye majimbo” Samia Suluhu Hassan, Madam President. Sasa nyie Secretariat ya CCM mmeenda Zanzibar mkafanya mkutano huko mpaka watoto wadogo wakaanza vijembe kwa kina Mbowe. Sasa mko Mikoa ya Songwe na Rukwa, huyu katibu mwenezi...
  14. JERUSALEM 2006

    Rais Samia na CCM kwa busara, sikiliza na ikiwapendeza mfuate ushauri huu juu ya katiba mpya

    Kwa hiyo aliyeongea ni nani? Sio Bashiru?? Hivi mbona unakuwa kichwa maji hivi? Kusoma huwezi bado nimekuwekea video bado hutaki kuamini?? Huyo Kabudi na yeye alikua na mtazamo upi?? Na kilichoubadirisha ni nini kama sio madaraka?
  15. JERUSALEM 2006

    Rais Samia na CCM kwa busara, sikiliza na ikiwapendeza mfuate ushauri huu juu ya katiba mpya

    Kwa hiyo mnapingana na Katibu mkuu wenu mstaafu?
  16. JERUSALEM 2006

    Rais Samia na CCM kwa busara, sikiliza na ikiwapendeza mfuate ushauri huu juu ya katiba mpya

    Sasa huo umeme unaupataje bila uongozi thabiti unaowekwa ma wananchi? Au hayo maendeleo yatapaa bila wananchi kuya demand? Kama huwezi kumuwajibisha kiongozi akiamua kutokuleta hayo maendeleo utachukua hatua gani? BTW CCM wenzako wamejieleza hapo juu
  17. JERUSALEM 2006

    Rais Samia na CCM kwa busara, sikiliza na ikiwapendeza mfuate ushauri huu juu ya katiba mpya

    Kabla ya madaraka alikuwa very genuine, lakini alipiga u-turn ghafla baada ya uwaziri, same kwa kabudi
  18. JERUSALEM 2006

    Rais Samia na CCM kwa busara, sikiliza na ikiwapendeza mfuate ushauri huu juu ya katiba mpya

    Kwa hiyo kwa akili zako hao ni wapinzani?? Kabudi, Bashiri na wewe na Mhafidhina wa CCM? Au nikewasingizia?
  19. JERUSALEM 2006

    Rais Samia na CCM kwa busara, sikiliza na ikiwapendeza mfuate ushauri huu juu ya katiba mpya

    Mhe, Rais, Mhe. Palagamamba M.A. Kabudi waziri mwandamizi katika serikali yako mwaka 2012/13 katika viunga vya Nkurumah Hall chuo kikuu cha Dar Es Salaam, alitoa ushauri huu juu ya katiba Mpya, Mhe. Rais, Aliyekuwa Katibu Mkuu wa CCM, na kiongozi mwandamizi katika serikali yako na sasa ni...
Back
Top Bottom