Huu ni upumbavu ulotujaa. wakati vyuoni kila mtu anataka azungumze lugha za kigeni ili atambulike msoni. hiyo tovuti ya kiswahili ndo ipi mbona tunadanganyana hapa. wakenya wanafanya sisi tunatunga sera. kwa ninavyojuwa wakenya ndo walimu wakiswahili katika vyuo vingi duniani ukilinganisha na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.