why is this happening? let's get to look deeply and keenly behind this scene coz the less serious we are the more is stinging in this sin of hatrad! RIP paroko!
Ni sawa mzalendo wa chama kileeeee!, lakiniiii! ni wangapi wenye ushujaa wa kuvaa yaleee magwanda yenye rangi ya umasikini wa mkulima TZ?
:couch2::couch2:
Lazima atakua anafahamu, we unazani hii miziara ya dunia zima pesa zinatoka wapi? na nn hasa anatafuta huko maana toka 2005 mpaka sasa sioni kama kuna faida ya misaada anayoimba kila siku, labda msaada wa pesa ya kuzururia majuu ili akatafute ardhi ya kwenda kuishi mara baada ya kutoweka 2015 na...
kutafuna sio issue sana, ila kama unatafuna na unaowaongoza hawapati shida kama za sasa is well and good! hivyo nampongeza kijana kwa kazi njema ya kujitoa muhanga "anajiamini" maana marehemu A.Chifupa walimuondoa sekunde tu
hata ivyo walikosea sana, mbali na kupaka Rangi ya mawe pia wangemshusha na kutembeza kwa miguu mpaka anakokwenda ili aonyeshe huo uzalendo wake wakuchangia kila kukicha, alaaaah! pesa zenyewe za kwetu, au ndio style waliyoambiwa jinsi ya kurudisha pesa za RICHMOND......na EPA
mie nazani hiyo mijitu utakua wewe na wenzio ambao mnaona CCM ndio yenye hatimiliki ya kila kitu ndani ya nchi hii, vp ndugu, au nawe ndio umefika mwisho wa kufikili?
Kwanza hata hivyo hii hoja imekuja kwa kuchelewa sana maana hawa watu sasa wametula na kutuacha na mbavu tu,kiukweli nami nipo ndani ya hoja mwli mzima
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.