kweli kabisa postmortem ni mandatory coz lazima cause ya kifo ijazwe kwenye form za kifo..na huwa inafanyika kabla ya kuifadhi mwili ili kupata real data na kutopoteza ushaidi..daktari atakuwa anajua sema anaogopa wanasiasa.
leo nimemsikia DR. LWAITAMA kwenye station moja ya Tv akionya kwamba polisi hawapaswi kuzuia maandamano wala mikutano ya hadhara kwa maana hiyo ni haki ya msingi ya raia na badala yake wanatakiwa wawaelekeze wananchi ni jinsi gani ya wafanye maandamano yao kwa amani. polisi mnatukosea sana...
bampami we ni usalama nini? nakustukia kutokana na maswali yako, kuna jamaa alipost waraka mpya wa mshahara humu jf na watu tukadownload lakin baada ya masaa mawili jamaa akawa kaudelete jf nikasema hebu niusome fresh kwenye pc yangu, nikagundua waraka huo bado ni siri na haukutakiwa kuwekwa...
hilo sio tusi ispokuwa najaribu kubashiri source ya data zako, huwezi kupost ujinga afu nikuvumilie tu. mtu asiporudisha kadi haina maana bado ni active member kwani kadi inaweza kupotea, kuteketezwa au kupelekwa chama pinzani ili kuonesha umma kwamba umekihama chama fulani mfano mzuri ni pale...
chama hoja zako nimezisoma vizuri na umeweka mkazo kwa zambia kuendelea kuwakamata mafisadi wakati huu, kwa mtazamo wangu naona bado serikali iliyoko madarakani inafanya kazi nzuri maana mpaka kufikia kuwafichua mafisadi sio jambo dogo lakini kwa serikali ya TANZANIA mafisadi wasingeweza...
kwani ni lazima ndugu wa marehemu wapate msaada kutoka chadema?. kwanza inavyosemekana marehemu hakushiriki kwenye maandamano na ameuawa kwa kupigwa risasi na jeshi la polisi so sioni hoja ya msingi ya kuilaumu chadema hata kama kweli wamekataa kutoa msaada.
kupata usajiri hainisumbui kichwa kwani hata TLP, UDP, NCCR na vingine vingi vimesajiliwa. ukweli ni kwamba hamtauweza ushindani uliopo na badala yake mtaishia kuwapigia debe wenye nguvu. go to hell ADC
sasa utajiri wa mtu mmoja unatuhusu nini sisi. kama kachangia ujenzi wa shule tunashukuru lakini haina haja ya kumuona kama mungu mtu kwani ni jukumu la kila mtanzania kuleta maendeleo tanzania.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.