Walikuepo wengi wakapitaa..wakina liquid,mandongaa na sasaa yeye..cha muhimu atumie fursaa vizur ss wabongo tunawachoka watu mapemaa sana..ila ajitahd ajifunze kiingerezaa kdogo na jografiaa kdogo itamsaidia
Daah umemalizaa mwaka juzi tu unalalamikaa@its either bado mtoto au bado ndo wakua!jarib kuchkulia maishaa kwenye angle nyngne..utafanikiwa.kama unasubir ajiraa ..boraa ufee tuu
Hizi topics za vijijin n mjin nadhan znaletwa na madogo ambayo bado wako shulee tu..jaman kwa maisha ya sasa mtu unaezaa kufanya chochotee popotee .ilimradi akili y'ako ikubali kutafutaa pesa hko.@Unazungumzia kijiji ambakk ckuiz Kuna umeme kila mahal..Kuna solar na maji..!Tv zinaangaliwa Hadi...
Kimsingi bilaa kufanya cheating yoyote hutoboi..kwa watumishi wa Umma..na nadhan hasiraa huwa zinakuwa kubwa zaidi ukiangalia viongoz walioko juu@kama uzalendo n lazimaa kuanzia juu...wee unajifanya mzalendo..while kiongooz wako juu ana mshahar mkubwa n pia mwizi
Barbara ni nzimaa? Daah mkuu umeshindwa hataa kujuaa kwamba maeneo hayo yana miteremko mikali na Malory y'ako mengi? Tumia simu y'ako vizur utaijua sababu mkuu.
Habari wadau.kwenye maishaa yangu ya utafutaji nlifanikiwa kujifunza baadh ya vitu kutoka kwa wenzet wazungu@hapa kwenye mzunguu namaanishaa mjeruman ndo nlifanya nae kaz.ila anaezaa kua Mzungu yoyote(code)ilaa yulee mdau alikua na kampuni yakee ambayo nlijifunzaa sanaaaa
1.Wenzetu hawanaga roho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.