Siku siasa itakapo tenganishwa na mambo ya kitalaam ndio siku tutakayo-anza kundelea. Tanesco inashindwa kufanya vizuri kwasababu wanasiasa ndio wanayoiendesha na sio wanataaluma.
Safi! Nimependa wazo lako. Bank zina hela sana ndio mana zinajaribu kusaidia watu kwa njia ya kukopesha.
Tatizo la nchi yetu serikali haina data base ya taarifa za watu wake ndo mana masharti ya mikopo yanakuwa magumu ili bank ipate uwakika wa kumpata mkopaji asije akakimbia.
Ushauri wangu...
Mimi sina imani kabisa na Zitto. Kabla ya hili alishaibua mengi huko nyuma na yaka vuma sana. Kama ishu ya mikataba mibovu ya madini na Richmond.
Mikataba mibovu mimi sijui hata imeishia wapi!!? Richmond mpaka mwisho tanesco(serikali) ndio ilitakiwa wailipe!!!
Watanzania huwa wanapenda...
Mgomo pekee mi ndio naona suluhisho. Hakuna kwenda kazini wala kuingia darasani mpaka kieleweke.
Watanzania tunajiita wapole wala sio upole ni UJINGA tu! Tuache ujinga, nia tunayo na sababu ipo.
Kama chadema (zitto) wanania kweli, waitishe mgomo wa nchi nzima hadi kieleweke tusisubiri 2015...
Watanzania sio wapole, ni WAJINGA ndio mana mafisadi wanatuendesha ka mafala! Kwa hili tulitakiwa kuandamana mpaka kieleweke mana tunasababu zote za kuandamana ujinga tu ndo unatuponza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.