HESHIMA KWENU WAKUU
Nimekaa nikiwaza sana kuhusu biashara ya mazao haya mawili. Sasa naomba mwenye kufahamu uendeshaji wa biashara ya kununua na kuuza haya mazao mawili (kahawa na parachichi). Hasa kwa kuzingatia yafuatayo;
1. Sehemu ya kununua
2. Soko
3. Mtaji
4. Changamoto zake
5. Utaratibu...
Hua wanatoa list ya watu ambao taarifa zako znamapungufu na wanafafanua nn kinamiss kwa hyo subiri tu. Ila unatakiwa ujenge urafiki na hii www.heslb.go.tz ili taarifa ziskupite.
Ni hivi muda wa application za degree bado kuwa mvumilivu sivyo utawalaumu watu kwa haraka zako mwenyewe cha msingi jenga urafiki wa kutembelea www.nacte.go.tz haya mambo yanatangazwa hadharani kwa watz wote na sio vichochoroni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.