Wazee wa Road trip Jpili nina safari ya Geita Tanga via Busisi, na Babati kituo cha kwanza na ndipo nitakapolala Asubuhi naliamsha paka Tanga kwa Babu Chumbageni kwa kutumia Mnyama wa kijerumani X3
Kweli kabisa atamimi nipo rafiki yangu alinunua kampuni tofauti na Toyota paka leo unaenda mwaka wa 6 hajawahi kubadilisha spear zaidi ya service ya kumwaga oil
Habari wana JamiiForums, poleni sana na majukumu ya hapa na pale.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nimetokea sana kuvutiwa na kulipenda gari aina ya Nissan Dualis lakini sina information za kutosha husu ili gari so nimeonelea nije apa kwa wadau mana najua humu ndani kuna fani za aina...
Habari ndugu, unaitaji kufanya kazi mgodini lakini hujafafanua elimu yako ni level gani, napia unatakiwa kutambua kua kuna large scale mine na small scale mine sasa sijui ni ipi unazungumzia.
Kama ni Large Scale Mine hua wana tangaza nafasi za kazi kama kuna uhitaji, na kazi zenyewe ni kama...
Habari za majukumu wana jamii foroum. Kuna issue moja inanisumbua nataka kufahamu kisheria imekaaje. Kuna eneo tumenunua mimi na wenzangu na pia yumeshaanza kujenga, aliyetuuzia ni mmiliki halali wa eneo ila kuna issue kwamba lile eneo lilipimwa na kuna plani ya shule ya sekondari ya private...
Habari wapendwa .jamani nimekuja uku kucheki wataalamu wanasemaje kulingana na shida niliyonayo. Gari langu linapata heat sana na kuzima yani ukitembea kidogo linapata heat na kuzima. Je tatizo linaweza kuwa nini ? Majibu ni kwa wale wenye uhelewa wa tatizo hilitu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.