Nimeyaona mahojiano ya Iive kati yako salam na DJ wily tuva then ya ali na wily ,
Kwanza hakuna haja ya ali kuomba msamaha kwa kusema show ilizimiwa backstage na we we kuita ni upotoshaji kwamba backstage hakukai sound MTU anaweza zima sound just kwa ku order then umekili kuwa ulikuwa backstage...
tufanye vyote as a man usijemuachia zile traditional responsibility mkeo eg kulipa kodi ya nyumba, kama mnajenga kiwanja ulinunua ww or both, unga, mchele si mbaya ukimuachia mambo ya mboga, matibabu lipia mme, umeme luku, maji
fenicha za muhimu kitanda unachomfanyia operation, meza ya...
Mimi ni kijana wa familia, nina dada wawili baba yetu alipofariki aliacha urithi wa nyumba mbili na shamba la viwanja vidogo kama sita ukigawa) nje kidogo ya Dar es Salaam nafanyia kazi mikoani na siishi Dar ila dada zangu wamezaa hawajaolewa wanaishi nyumbani ndani ya hilo shamba kubwa na mama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.