Jamani tumekuwa wabinafsi sana bwana,tuache kulalamika maana vichwa na mishipa itauma sana.Kila siku humu nikulalamika tu hakuna mtu anayekuja na mawazo chanya yakuisogeza nchi.
Binafsi Mimi sijaona tatizo lolote hapo la kununua umeme Ethiopia kama tunaupata kwa bei nafuu sana kuliko huu wa...
Habari zenu wanajamii forum,
Nimekuwa nafuatilia kwa ukaribu sana hizi hisa za CRDB tokea mwaka 2016 mwezi wa 7 naona hazipandi ila zinazidi kushuka sana.Kwa mfano ukiangalia report ya mauzo ya hisa kwa tarehe 5/7/2016 inaonesha hisa za CRDB iliuzwa kati ya shilingi 295 na 300 kwa hisa moja.Sasa...
.Chama cha siasa tena?kwani wao wanachama wengine watakuwa wanamuangalia tu huyo Lisu akiwa anafanya kiwe cha siasa.Jaribu kuwa na upeo wa kufikiria.Kila mtu anahaki sawa ya kugombea cha msingi uwe na vigezo tu basi,hayo mengine tuwaachie wenye chama waamue wenyewe msiwafanye nyie ndio mabingwa...
Kama umeshasoma na kuelewa kunasehemu inajirudia shida inakuwa wapi?Lengo hapo nikukupa yaliojiri Mahakamani na sio kujuchapishia hadithi na kukupangia utakavyo wewe.
Wakati mwingine inakatisha sana tamaa,mtu anakupa kitu ambacho ulikuwa hukijui badala ya kumwambia asante kwa ujumbe au taarifa...
Yani Haya Mambo yanatokea sasahivi yanashangaza sana,dunia yote hajuna mtu anayebanywa lazima apitie njia moja kwenda kupata degree.Sasa huyu mama sijui hilo wazo amelipata wapi,na hata Rais mstaafu mkapa ameshasema haya matamko kuhusu elimu watu wanasema tu bila hata kukaa na wataalamu na...
Ila mimi nashindwa kuwaelewa watu humu ndani,kwa Lema kukamatwa na kunyimwa dhamana sio jambo la haki lakini watu wanafurahi na kushabikia hiki swala.Kama hupendi chama cha mtu usijenge chuki mpaka ukamchukia mtu,hii hali sio nzuri kabisa.Watu tutofautiane kwenye sera na kujinadi lakini sio...
Daaaaaah ipo siku lakini haya manyanyaso yatafikia tu mwisho,Dhamana ya mtu ni haki yake lakini kwa Lema imekuwa ni vikwazo visivyoeleweka,Na mahakama zetu sijui kama zipo kweli huru.
Hilo jambo halitawwzekana kabisa,sio kila mtu aliyepata kazi katika hizo taasisi nimtoto wa kiongozi au ni mtoto wa familia yenye uwezo,hizo tunaita ni chuki binafsi kama wewe unataka kufanya kazi kwenye hizo taasisi unasifa?kama unayo subiria tangazo la kazi kisha uombe.
Yani hapo ndio tutamjua mnafiki ni nani.Nikweli haiwezekani ukawa ubataka kurekebisha kitu na uchungu unausikia kwa majirani tu wewe kwako haukugusi.Watoto wa wakubwa wakianza kusoma hizo shule basi ubora wa elimu wa hizo shule utapanda kwa haraka sana.
Hapo ndio niloposhindwa kuielewa kabisa hii bajeti ya mwaka huu,lakini wananchi hawafaitilii vitu kabisa kazi yao wao nikuiga wanasiasa wanavyosema .Ila bajeti hii kiukweli inabana sana wananchi ila watu hawajajua hilo ngoja tu itakavyoanza kufanya kazi ndio machungu yake watayaona.
Kwamfano...
Kwakweli kwa Bunge kutokuwa Live wananchi tunabaki gizani sana.Sasa hoja kama hizo zinajibiwa na wananchi hatuzisikii kabisa na hata ikiandikwa kwenye magazeti ni kwa kifupi sana.Sikui serikali yetu inatufikiria nini sisi wananchi.
Watu humu ndani mnaongea sana.yani hata hukumu mahakanani haitolewi hivi.mtu lazima ajitetee ajue kosa lake kisha Kama kuomba radhi ndio aombe .Na Kama ameonewa je?ndio maana nayeye anataka kuwe na masharti kwenye kurudi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.