Mphamvu,
Umenichekesha......ohhh asante sana.
Mada nzuri, na muhimu
Halafu unajua kujisaidia haja kubwa ni kama vile kuna add energy mwilini---I'm telling you people do not need energy drinks, they just need to use the bathroom more frequently....
Mh, Babu Swahili hilo nalo neno, hasa hapo uliposema hata kwenye masherehe mtu ukiangalia album au video unakuta kweli watu wamenuna utadhani wapo msibani.
Lakini hii si kwa wote, mimi na mwenza wangu tuliamua siku nyingi kwamba raha tutajipa wenyewe, hata kwenye daladala tunapiga story na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.