Nipo serious bwana!naomba unijibu mana kuna wakati nikifikilia sana
kuhusu yeye huwa machozi yananitoka!
wanaachwa watu zaidi yake kiutendaji,kwa nini tunafanyiwa ivyo?kwa
maslai ya nani hsa jamani?inatia uchungu sana.
Mungu tusaidie.
Salam wakuu!
Ni muda sasa,nimekuwa nikijiuliza maswali mengi pasipo na majibu,kuhusu mama
huyo kwa jina la Sophia Simba,je ni nani hasa?kwa kuwa tokea nimeanza
kumfuatilia enzi zile kabla hajawa mbunge,wala nini,ni maajabu kuwa waziri!
Nasema ivyo kwa kuwa hata alipopewa uwaziri tokea...
Sijui nianze kwa kusema nini lakini kaka Paxman,umenitoa machozi sana
tena machozi ya simanzi kwani pamoja na mimi kukuzidi umri kidogo lakini
una hekima busara na ushauri mzuri sana,
Na mimi dada yako nakuahidi kufuata yote uliyonishauri kwa kuwa yanajenga
na yataenda kujenga ndoa yangu Na...
Dudu,naomba rudia tena kuisoma ile message,nilisema nimeshampata mpenzi
Eng James na ananipa mapenzi kama ya mama na mtoto wake wa kwanza
katika mabano nikaweka(si mapenzi ya kitandani)nikimaanisha anavyonitreat
ni kama mtoto mdogo,ananibembeleza,kuja kila mara nipo wapi,nafanya nini
je...
Jambo la kwanza ni kupiga magoti na kumwomba Mungu.Then,ukipata
chance kama hii na watu mbalimbali wakatokea kupenda kuwa na wewe
usibabaike,mfano mimi,walitokea wote unaowajua wewe,wa kada mba
limbali na kutoka nchi mbalimbali ulaya na Amerika,hapo ndo nilitumia
kitu kinachoitwa STRENGTH OF THE...
Worry not my Brother,sisi tumemtanguliza Mungu mbele
kwa kila hatua,ivyo hatuna shaka yoyote na ni Mungu
tu aliyetuunganisha,japo njia ilikuwa ni hii ya JF
Thanxs again for your support and advice along the way!
Im so happy with your lovely words and advice!
It seem you are a kind hearted person,I real appreciate'
Hope we will be together soon for the celebration
later this year!
Hellow my beloved sister,I replied.may be was a network problem.
ok you just PM me and dont forget your tel no,to ring you!
Thanks for your compliment,you are a wonderful and special sister to make
so let ut start a move of friendship!
Ivuga,tuko pamoja,shemeji yenu akiridhia tutatoa picha zetu live,ni kwamba
hakuna utani,maisha ndo haya,tusijidanganye kwamba kuna sehemu nyingine
so mtu ukipata chance itumie,huo ndo ushauri wangu kwa wengine
ambao bado,MUngu ni muweza wa yote!Kuhusu kadi usijali panapo
majaliwa ya Mungu ni Dec...
Salaaaaaaam!
Napenda kutoa pongezi zangu za dhati kwenu,kwa kazi nzuri ya
kuweza kuweka jukwaa la wapendanao,hatimae na mimi nimempata
mpenzi wa moyo kwa sifa zilezile nilizotoa!
Pia nawashukuru wote walioniPM na kupenda wawe na mimi nao nawashukuru sana,
kwani waliniamini na mimi sina budi...
Aksante kaka,nimekusoma,ila ukweli mimi sijachakachuliwa kabisa,na hata kama
ni kuchakachuliwa basi mimi siwezi ingia kwenye list iyo,
sasa nikwambie,sasa naomba nikwambie tu kwamba Tayari kwa kupitia JF.
nimeweza kumpata yule niliyekuwa namtaka,yaani kama kichwa cha habari kinavyosema kwa...
Thanxs mkuu,usinielewe vibaya ndugu yangu,kama ulisoma vizuri tangazo langu
la mwanzo kabisa sikuweka pesa kabisa why?ni kwa kuwa kwangu hayana nafasi
naweza nikaishi na huyo mwanaume hata nikiwa naprovide mimi everything
what I need from him is Real love which I have been missing since my...
Naona uliyecomment hapo ni dada,okay ni maoni yako
wala kamwe siwezi kuzuia,ila kwa taarifa yako fupi umekosea kuniwazia
ivyo,pengine hujasoma between lines.na dakika hii ninayokujibu
tayari nimempata wa moyoni,kama wewe bado wala usijali inawezekana
ni kujiamini tu na mambo yako na utafanikiwa...
Hellow once again Fou...aksante kwa ushauri wako na naufanyia kazi.
ila na wewe napenda nikupe japo ushauri mdogo.siku ingine unaposhauri
toa ile negative attitude,badala yake weka positive hata kama unakosoa
nasema ivyo kwa kuwa hata mimi ni mwalimu tena kwa miaka 6 sasa
nimekutana na...
Halafu da Judy,umezungumzia kuhusu kwamba mwanaume mwenye kipato cha
kuanzia 2m anakuwa tayari ameoa si kweli,tena hao ndo wengi hawajaoa.nimeshafanya
research,kwa kuangalia mienendo kwenye jamii na hata mifano halisi kwa jamii
inayotuzunguka na si kwamba wenye kipato kidogo pekee ndo wameoa au...
Nashukuru sana dada yangu kwa ushauri wako na inaonyesha ni jinsi gani
unavyoweza kumfikilia na mtu mwingine.huo ndo tunaita utu wema,
kuhusu vigezo muhimu,nitaanza na moyo wangu unasema nini kwa mtu mhusika
unajua asikudanganye mtu kitu kinachoitwa upendo,ni cha ajabu na siri kubwa
ila mimi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.