Katika Wizara zenye matatizo hii ya Nundu ni mzigo mkubwa,hyu jamaa namfahamu ni mzuri ila ataharibiwa na mfumo wa Chama,amepokea idara zote zenye matatizo,Reli ovyo,Bandari ovyo,ATCL ndio usiseme af mbaya walomzunguka pia wanamzunguka ki-ukweli so ana wakati mgumu sn af ikizingatiwa ni mgeni...
Ni ngumu sana kwa haya magamba kubadilika,yanakuwa km kinyonga hubadili rangi kutokana na mazingira,km ni zao la ccm hakuna kipya hpo ndugu zangu.Nchi hii itakombolewa na watu tofauti kabisa ambao hawana uhusiano wa moja kwa moja na chama hiki tawala.
Ninahitaji rafiki wa kike aliye mstaarabu umri kati ya miaka 18 hd 25,dini na kabila sio kikwazo ila awe mtu asiyjichubua au kutumia vipodozi hatarishi. mtu ambaye sio tegemezi na anayejituma elimu kuanzia kidato cha nne na kuendelea, aliye tayari plz contact jpet25@hotmail.com
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.