Search results

  1. S

    JK kuvunja baraza la mawaziri baada ya sherehe za Muungano

    mmh,haya magazeti mengine yanatafuta balaa,ingekuwa leo ni April Mosi ningeamini.
  2. S

    Omari Nundu: Sioni sababu ya kujiuzulu

    si wameamua kumchokoza ndo maana na yeye kaamua kunena.
  3. S

    Omari Nundu: Sioni sababu ya kujiuzulu

    Katika Wizara zenye matatizo hii ya Nundu ni mzigo mkubwa,hyu jamaa namfahamu ni mzuri ila ataharibiwa na mfumo wa Chama,amepokea idara zote zenye matatizo,Reli ovyo,Bandari ovyo,ATCL ndio usiseme af mbaya walomzunguka pia wanamzunguka ki-ukweli so ana wakati mgumu sn af ikizingatiwa ni mgeni...
  4. S

    Natangaza 'kumdharau' January Makamba rasmi!

    Ni ngumu sana kwa haya magamba kubadilika,yanakuwa km kinyonga hubadili rangi kutokana na mazingira,km ni zao la ccm hakuna kipya hpo ndugu zangu.Nchi hii itakombolewa na watu tofauti kabisa ambao hawana uhusiano wa moja kwa moja na chama hiki tawala.
  5. S

    Natafuta rafiki wa kike kutoka Tanga.

    sifa muhimu ni hizo tu jamani,km kn nyingine ni za kawaida tu,mm si msambaa ni mbondei wa Bonde,yeyote aliyevutiwa nami ajitokeze....
  6. S

    Natafuta rafiki wa kike kutoka Tanga.

    Ninahitaji rafiki wa kike aliye mstaarabu umri kati ya miaka 18 hd 25,dini na kabila sio kikwazo ila awe mtu asiyjichubua au kutumia vipodozi hatarishi. mtu ambaye sio tegemezi na anayejituma elimu kuanzia kidato cha nne na kuendelea, aliye tayari plz contact jpet25@hotmail.com
Back
Top Bottom