Tatizo ni za Dr Slaa kukaa kimya akiwaacha wananchi na wanachama wakihaha kujua alipo na anafanya nini. Kwa sababu umekuwa msemaji wake, mwambie atoke, aseme, aondoe mikanganyiko.
Kwa hiyo umehifadhi hizo picha kwa faida gani? SUA ni chuo kikuu, hao waliofanya ufuska wamemkosea nani mpaka wewe uhifadhi picha zao? Au huyo Lecturer kachukua binti aliyekukataa? Hiyo Engenering ya Chakula utaimaliza kweli, maana umekomaa sana na ngono, wanawake, Janet, wahadhiri na mambo yao...
Kama hakuacha wosia, baraza la maaskofu tanzania lina uwezo wa kuamua kumzika mahali popote, makaburi yoyote ya kanisa katoliki au kanisa lolote la katoliki.
Upo sahihi kabisa. Walala hoi tulitakiwa tuanze kwa pamoja kwenda pale Mjengoni na kuwatoa kwa wingi wa umma. Lakini tutabaki kusaga vidole tu humu kwenye MITANDAO. POOR TANGANYIKANS, HELPLESS, IGNORANT, COWARDS, DESTITUTE, CRIPLLED, RETARDED, YOTE TU.
Bunge bhana. Siku mbili milioni. Wote tunakula ChakoNchako, tunalala Veta, tunatumia taxi za dom town, nyagi na bia za rose garden bei moja, club 84 bei moja, watoto wa Udom bei ileile nk kutwa nzima hata laki na nusu hujamaliza baada ya starehe zote hizi.
Balance laki tatu kwa siku. mara siku...
Msuki, hakuna nchi iliyoendelea bila kuwa na demokrasia ya ushindani. Mwananchi ndiye anatakiwa kuwa msemaji wa serikali anayotaka. Wasaidie wananchi waliochoshwa CCM hadi kuchagua uwakakilishi mwingine.
Pia hakuna ushahidi wa kitafiti unaoonesha Arusha kuporomoka kiuchumi kwa sababu...
Hayo maprogram yapo kibao. Nyingine inaitwa Vault, na nyingine CalaApp. Yote hukohuko Google Play au Mabognie. Unaambiwa hata simu ikipigwa inaingia kwa siri kama ulishamhide huyo usotaka ajulikane na uliyenaye kwa mda huo. Kazi ni Kwako tu. Dowload.
Bwana Lizaboni. Kwenye masuala ya raslimali tuache ushabiki wa kisiasa. Gazeti la Uingereza limeandika kwa takwimu na weledi juu ya biashara ya meno ya tembo Tanzania na China. Saidia nchi hii na vizazi vijavyo pamoja na wajukuu zako kuja kuiona Tanzania yenye mali asili zilizopo. Kama huna hoja...
Kwamtoro mbona unatukwaza, hizi sio siasa za chadema na ccm. Tumefiwa na mtu muhimu sana Tanzania ambaye amefanya kazi miaka 41 Maua Seminary yenye wawakilishi Tanzania Nzima kwenye sekta zote. wewe unaleta mizaha ya kwenu usandaweni. Tunakuomba ujiunge nasi kumwombea. tafadhali acha mizaha...
hata mimi nimepata habari fr ladislaus amefariki dunia. nilimpenda sana kwa shughuli zake za kilimo na mafunzo yake kwenye maeneo yote ya kilimo. mungu aiweke roho yake mali pema pepon. amina.
Acha hizo. Mtukufu Daniel Arap Moi Rais wa Kenya alikuwa Rais Shupavu baada ya kumtema mkeo mapema. Kwa afrika uongozi ni independent na monogamy au hata polygamy.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.