Kwenye kuziba jino, inategemea na kiwango cha dental caries ilipofikia. Kama hipo deeply to the pulp, ganzi lazima itumike ili kusiwe na maumivu na procedure ifanyike smoothly. Ila kama hipo superficially, siyo lazima kutumia ganzi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hili ni muhimu sana.
Lkn pia kumtimizia mahitaji yake, kama mzazi husipotimiza hayo mahitaji, kuna vijamaa njee vitamtimizia na kumwaribu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii njia utakifika Chunya, kuna njia ya kutokea Itigi. Sema ni seasonal road, barabara haipitiki muda wote. Ni njia fupi sana kama ikitengenezwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Aise pole sana, Vodacom siku hizi wamekuwa wezi sana. Hata mimi walikula salio langu la M Pesa nikashangaa, kuwauliza wananiambia nilicheza bahati nasibu yao ndiyo maana hela imekatwa. Nikauliza bahati nasibu si mpaka ucheze
mwenyewe na uruhusu hela itoke M Pesa, imekuwaje nyie mnanikata moja...
Uwa wanasubiria mpaka uoe au uolewe ndiyo wajitokeze.
Wengi wa hivyo upenda wanamke au mwanamme ambaye tayari ameshaolewa au ameshaoa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila watu wa aina hii wapo aise, si kwa wanawake hata kwa wanaume pia wapo.
Ukianzisha mahusiano na mtu, unayumba sana kiuchumi mpaka unashika adabu. Mkiachana tuuu mambo yanarudi kukaa sawa.
Mabint wa aina hii uwa ngumu sana kuwaacha kutokana na wanavyokuwa, very Royal in Relationship
Sent...
Hao ndiyo uliwaga kwa Magari ya kuazima, mpaka aje kujua siyo yako ameshapotea njia.
Hao ni wanawake wanaotumia matako kuwaza
Sent using Jamii Forums mobile app
@Zero IQ katika uwanja wako wa kujimwambafy
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.