Huyu jamaa anauwezo mdogo sana wa kufikiri tena especial anapokuwa na sketi pemben ni mdhaifu sana. Wakati mwngne tumsamehe pengne ni walewale wanao fikiria kwa kutumia makalio. Tusiwalaumu hawa sana tatizo ni nini wanachochotumia kufikiria? Kichwa au makalio?
miaka kumi tunakokwenda ni ming sana. Lazima kieleweki. Haki haiombwi ccm kama chama tawala wafike mahala watambue nawapatie watu haki zao na sio kuwanyanyasa
Congratulation Dr. Mwakyembe. We ni aina ya kiongozi bora tunaye mwitaji na sio bora kiongozi. Mungu akulinde nakukufanikisha kwa kila jambo. Naomba wafilisiwe mpaka hizo nyumba walizoonga vimada
Mwache aendelee kutapatapa mpaka achoke. Akichoka ajichafue alafu ajikatae. Na utakuwa mwisho wake wa kusikika kisiasa especial ubunge. Anajua kuwa anajikaanga mwnywe thts y katulia anazungumzia chinchin. Chadema yote majembe makal hakuna wakumtishia mwngne. Kama vp ajikatae. Chadema itaendelea...
Haya majamaa yanajua kuna nini nchini kwani kipindi wanatupatia uhuru wetu tayar kuna demacation walikuwa wameshaziweka. Hivyo wanatafuta namna ya kutupumbaza na kuzirudia raslimali zetu indirectly. Ila viongozi wetu wengne walivyokuwa mapunguwani hata kutambua kinachoendelea hawatambui. Upuuzi...
Hapo hawatusaidii ila pia ikumbukwe kuwa kinachofanyika kuwataja hawa ni jambo la kumfichua adui sasa ni vita. Hivyo kunauwezekano mkubwa wamekwisha kuwasiliana nao kusudi wawakingie vifua mafisad hao. Ila vilevile ikumbukwe kuwa mabenk hayo yako kibiashara ivyo wakiruhusu mabilion hayo ghafla...
napenda kuwaambia waache frustration. Wanapotaka kufanya jambo wajaribu kufanya wakat wametuliza ubongo ndipo watafanya jambo lenye manufaa kwao na kwa wananchi. Nadhan M4C ndio inawanyima usingiz kwa namna wanavyoona ikifanikiwa sasa nawao wanatoka kivyao. Pole yao
Hawa lazima watoane macho kwan wanachogombea nikula na sio kupata uongoz wa kusaidia kutatua kere za wananchi. Tumeshawazoea hawatup homa. Hapa sisi ni People's power kwa kwenda mbele huku tukiwasubiria 2015 tuwagaragaze kama tunanawa vile kwa tumeshawaona hawa kijan wamekuwa lain kama...
Ebwana wee nilitaman ningekuwa mahome muda kama huu niweze hudhuria mambo ya Joshua na M4c kwa pa1 ila bas niko mwanza kikaz ila nimekumbuka ma home aisee. Eroo jombaa bado tuko pa1 naomba unijulishe kitakachojiri huko mahome. Niko kichuga chuga! Nimemazaliwa R-chuga! Sina nidhamu ya uwaga...
Kwanza kipekee namshukuru Mungu kwa kumwongo Jaji ktk hali ya hekima na busara na kuweza kusimamia haki. Pili Mungu amekuwa akiiyonekania Tanzania kila kukichwa kwakutufunulia maovu ya viongoz wetu na kuwaweka wazi na hata kuwashusha chini. Napenda kusema mwisho wa CCM a.k.a wazee wa kijan...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.