Aisee unajua umeongea jambo la maana sana, hapa Tanzania tuwe tunaunda tume zinazoongozwa na Majaji wa Nje (Uganda/Kenya/Burundi au Ruanda) na akishamaliza kazi yake atusomee ripoti hadharani ndio arudi kwao sisi tubakie na Serekali...
Tupe maoni yako hata kama ni ripoti, sisi tunachomsifia ametenda haki kwa raia aliyenyanyaswa na kiongozi na amesoma taarifa ya tume aliyoiongoza bila woga na tena ugenini na tunaifananisha hali hiyo na haki ndani ya Muhimili wa Mahakama hapa Tanzania.
Sawa hata kama ni ripoti ya tume tupe hoja yako, sisi tunamsifia kwa kutenda haki na kutoa msimamo wa tume aliyoiongoza bila uwoga tena ugenini na tunafananisha hali hiyo na hali ilivyo kwenye Muhimili wa Mahakama hapa Tanzania.
huyu mzee ni noma yaani kampiga chini Jadge Mwenzake bila aibu, tena nasikia huyu Nancy ndio alikuwa Mwenyekiti wa kamati maalumu ya Katiba ya Kenya kwenye Kipengele cha Haki za Binadamu halafu yeye mwenyewe ndio akawa wa kwanza kuzivunja, sheria inakata mara mbili aisee,
tumuombe asaidie ile...
Tangazo M4C Iramba Mangaribi - August 2012.
Chama cha CHADEMA kitafanya Ziara ya Mwezi Mzima katika Jimbo la Iramba Mangaribi ambalo ni Jimbo la Mh. Mwigulu Nchemba kwa ajili ya kuimarisha chama, Mada zitakazozungumziwa katika Ziara hiyo ni;
1. Utendaji wa BOT kati ya Mwaka 2006 - 2010
2...
Zitto Kabwe amethibitisha kushiriki na amepewa kazi maalumu ya utafiti chini ya wasaidizi wa wasomi sita wenye alama za juu za mambo ya uchumi na utawala wa fedha kutoka Chuo Kikuu cha Tanzania na kushauri timu itakayokuwepo Iramba, kazi hii pia itamruhusu kuhutubia katika vikao vya Iramba...
Chama cha CHADEMA kitafanya Ziara ya Mwezi Mzima katika Jimbo la Iramba Mangaribi ambalo ni Jimbo la Mh. Mwigulu Nchemba kwa ajili ya kuimarisha chama, Mada zitakazozungumziwa katika Ziara hiyo ni;
1. Utendaji wa BOT kati ya Mwaka 2006 - 2010
2. Wizi wa Fedha za EPA
3. Uhusika wa BOT na...
Chadema watafanya m4c jimboni kwake mara tu baada ya kikao cha bunge
ndipo atakapojua maana ya kuwa na "a'' wakati watu hawana maji, hospitali na mabilioni ya pesa yanaibiwa na kuhifadhiwa nje huku bot wakijua
Tunatarajia bajeti nzuri leo na zitakazoleta sinema mpya bungeni,
Arusha Mambo nawapata kwa usikivu wenye uhakika, niko KIBONDO, hapa nilipo hakuna mawimbi ya Redio wa TV isipokuwa internet ambayo ndiyo inanisaidia kusikia bunge, hii akili sijui mmeitoa wapi, BIg UP!
Wadau,
Samahani inaweza ikawa sio mahali pake ila nimesikia leo kupitia Arusha Mambo habari hizi za kumbukumbu ya kifo cha Brenda Fassie wa South Africa na kuwa Mzee Mandela na Rais wa sasa wa Afrika Kusini walikwenda kumjulia khali hospitalini kabla ya kifo chake, nikajiuliza hivi yule dada...
Inasikitisha kwa watu wasiotambua hili: kwa hali ilivyo sasa katika Nchi ya Tanzania CHADEMA ndio wanaongoza nchi na ndio wanaoiamulia Serekali nini cha kufanya, kwa sasa wao ndio wamemuajiri Rais na wanaweza kumfukuza kazi saa yoyote.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.