Search results

  1. lufungulo k

    TANZIA Mwalimu maarufu wa Geography, Mtegetwa Mng'ala Afariki Dunia

    Nilipata sifa zake , nikamtafuta kwa ajili ya somo la Jiografia kwa mwanangu nilifanikiwa kukutanq naye na kufanya naye mazungumzo lkn wakati huo alikuwa mgonjwa mwenye nafuu. Maana ndo alikuwa ana recover kutoka kwenye maradhi ya KUPOOZA, nilipata story nyingi juu ya afya yake, mpka mtu...
  2. lufungulo k

    Watumishi wa umma wapewe elimu ya kikokotoo wamechanganyikiwa

    Mm siyo kijana, ni mstaafu niliyekumbana na kikokotoo, binti yangu kakosa mkopo chuo kikuu. .nimempa kadi ya bank kwa ajili ya pension AJIKIMU. Mke wangu bado ni muajiriwa ndo kachukua jukumu la kuendesha familia jiji la Dar kwangu nimelikimbia niko wilayani huku napambana na kilimo na ufugaji...
  3. lufungulo k

    Watumishi wa umma wapewe elimu ya kikokotoo wamechanganyikiwa

    Hakuna chochote kitakacho saidia , hakuna Elimu yoyote ! Vijana walioko makazini na watakao ajiriwa baadaye katika hizi ajira za chini na kati. Ajira zisizo na masurufu mengine zaidi ya MSHAHARA ili kujiandaa na KIKOKOTOO fanya yafuatayo. 1- Oa mapema sana. 2- Oa mwanamke mnayependana sana...
  4. lufungulo k

    Dkt. Sule, kwa suala la Harmonize, wewe ndo haupo sahihi. Harmonize yupo sahihi kushinda wewe

    Mwanamke ni binadamu wa THAMANI KUBWA MNO. HARMONIZE ame MUHESHIMISHA MUNGU WAKE! mtu pekee anayeweza kutoa fafanuzi ni yy mwenyewe DR SULLE na wale wote wanao toa tafsiri NEGATIVE ndo wakosaji. " nikisema MUNGU WANGU" sina maana kuwa sio MUNGU WENU! Nia ya HARMONIZE NI NJEMA KUMUHUSU MUNGU!.
  5. lufungulo k

    Manispaa ya Kinondoni imefanya jambo kubwa sana kuongeza English medium primary school za ada nafuu

    Hii inapaswa kuwa ni agenda ya Dar es Salaam, kwa maana ya kuzitawanya hizo shule katika maeneo yote jijini. KONGOLE kwake Mkurugenzi wa Kinondoni WAAMSHE Wakurugenzi wenzio WALIOLALA, kwa kuwa ni faida kwa Wananchi ( siyo Yanga ) basi iwafikie WOTE.
  6. lufungulo k

    Ila nyie watu wa Dar es Salaam ni wachoyo sana kwenye chakula

    Hao wenyeji wako wameshindwa kwenda na beat, mgeni akiwepo chakula kinatakiwa KIONGEZWE MAFUTA YA KUPIKIA. Mtu toka bara, atakula akifurahia chakula kwa siku mbili tu, baada ya hapo ataanza kukinai na kunywa maji mengi. Weka mafuta mpaka kwenye UGALI.
  7. lufungulo k

    Biblia wanayotumia Wakotoliki na wanayotumia Walutheri pamoja na madhehebu mengine ni tofauti?

    Nipe tafsiri ya wakaao sana kwenye ulevi. Wanaokaa kidogo je? Nipe jibu kwenye harusi ya Kana , Bwana Yesu Alibariki nini?
  8. lufungulo k

    Biblia wanayotumia Wakotoliki na wanayotumia Walutheri pamoja na madhehebu mengine ni tofauti?

    Mwanangu!! Vyote ulivyonukuu BIBLIA inatoa ushauri juu ya ULEVI si katazo. Mf MLAFI ni nani .? na MLEVI ni nani? Hawa kila mmoja anatumia nini? Kwa kiasi gani? Niambie MLAFI anatumia nini? MLEVI je? Anatumia nini? Kisha naomba soma 1Samwel 25 - 37 Jadili ABIGAIL alimpelekea nini? DAUD je ...
  9. lufungulo k

    Biblia wanayotumia Wakotoliki na wanayotumia Walutheri pamoja na madhehebu mengine ni tofauti?

    Binafsi sipigi, ila siyo kwa sababu eti imekatazwa kwenye maandiko ni UONGO mtupu ni sheria za makanisa yao ambayo si mbaya isipokuwa WAKATAZANE WAO wenye taratibu hizo.
  10. lufungulo k

    Biblia wanayotumia Wakotoliki na wanayotumia Walutheri pamoja na madhehebu mengine ni tofauti?

    Hakuna palipokatazwa unywaji wa pombe ni ushauri tu! Mf " ni wale wakaao sana kwenye ulevi " Wanaokaa kidogo je? Nipe jibu Mvinyo ninini ? Na divai ni nini? Kilichobarikiwa pale kwenye harusi ya KANA ni nini?
  11. lufungulo k

    Biblia wanayotumia Wakotoliki na wanayotumia Walutheri pamoja na madhehebu mengine ni tofauti?

    Kasome Matendo ya Mitume 16:33 Halafu kama ww ni muamini ubatizo wa maji mengi, jiulize waliongozana mpaka mtoni/ bwawani/ ziwani/ au kulikuwa na swimming pool. Kisha jiulize neno " yy na nyumba yake yote" Kama kulikuwa na watoto wachanga haiwahusu? Iweje aamini mmoja, wabatizwe wote...
  12. lufungulo k

    Suala la abiria kwenye mabasi makubwa ya mikoani kujaa hadi wengine kusimama limehalalishwa?

    Tembea " ukutwe na shida" mm siku moja nilisafiri toka Manyoni mpaka stand kuu Dodoma. Lengo na madhumuni nifike Gairo, pale nikapokelewa na wahudumu ambao walinitaarifu kuwa ntapata gari wakanitajia nauli . Shida inaanzia kwenye tiketi wanayokupa ni zile za vitabu lkn zikiwa zimetaja bus...
  13. lufungulo k

    Mwanadamu, ujasiri wa kumnyang'anya godoro masikini unayemdai umeupata wapi?

    Bro! Mm alikuja kwangu fundi bomba, ambaye wanafahamiana na mke wangu alimfahamu kupitia ufundi wake. Nami nilipohamia alipo mke wangu nikamfahamu huyo fundi , siku moja alikuja nyumbani kwangu asubuhi asubuhi, nikawa namtania leo naona umevunja rekodi yako umewahi sana kufika kazini...
  14. lufungulo k

    Hawa ni baadhi ya marubani watanzania

    Yuko pia jamaa yangu mmoja ni MZALENDO sana yaani kupitiliza kasota sana mpaka kuwa Rubani . Daah jamaa yangu huyu kwenye KIPIMO cha uzalendo ni zile enzi za Mwl maana ni mtoto wa wazazi wa kawaida lkn HAKUPENDA kabisa maisha ya ULAYA mpaka kesho familia yake iko kule lkn yeye ni BONGO .
  15. lufungulo k

    Riwaya za Kiswahili ambazo hazitakuja kuandikwa tena

    BADO MMOJA. humo ndani kuna mwamba mmoja MAKSUSI SAYUKI.
  16. lufungulo k

    Mambo nayopenda kwa Waislamu japo ni Mkristo

    Binafsi nawapenda WAISILAMU ukimkuta aliyeshika dini ! ni katika UAMINIFU tu.
  17. lufungulo k

    Rais Samia alishauri kuhusu ujenzi huu wa barabara; kwanini TANROADS na TARURA hamumsikilizi?

    Mama alitoa ushauri kwenu nyinyi Wasimamizi na watengenezaji wa barabara TANROAD/TARURA, ili kuokoa fedha na kuacha kurudia rudia utengenezaji wa barabara za VUMBI kila msimu wa mvua unapoisha ! Basi mzijengee kwa SIMENTI. Mtindo huu ulipingwa na WALAJI lakini kwa mujibu wa MAMA njia hiyo...
  18. lufungulo k

    Fatma Karume amjia juu Martin Masese juu ya kauli ya Hussein Bashe

    Tatizo liko WAPI? mbona kauli ni nyingi tu zenye kuelekeza jambo kwa umma zikiwa katika hali ya IMANI !! Kama nchi INAPONYWA kwa kauli hizi za viongozi , bila KUMTANGULIZA MUNGU jamii itaanguka. Kwani kutamka RAMADHAN shida itatoweka ! inaleta ukakasi gani? Mipango na mikakati ya serikali...
Back
Top Bottom