Ikiwa zimebaki siku 17 kabla ya kufanyika uchaguzi wa shirikisho la soka barani Afrika (CAF), mpaka sasa wagombea waliojitokeza ni wawili tu ambao ni Bw. Issa Hayatou ( Rais wa sasa wa CAF anayemaliza muda wake) na Ahmad Ahmad( Rais wa chama cha soka cha Madagascar) tofauti na uchaguzi wa mwaka...
Kubenea alipoandika habari kuhusu kutekwa na kuteswa kwa Ulimboka walimsifia sana, Leo anaandika kuhusu Ben Saanane kuonekana akiwa mitaani akidhurura, Kubenea anaonekana kanunuliwa na CCM.
Poor BAVICHA!!!
Hoja yangu hapa ni kuwa: kwa sababu CUF ina mgogoro, na maana ya Umoja ni nguvu, kwanini kata zingine wasipewe NLD na NCCR kwa sababu watakuwa na nguvu ya kushindana ndani ya UKAWA badala ya kata zote kupewa CHADEMA kwa kisingizio cha mgogoro wa CUF na kuviacha vyama vya NLD na NCCR kubaki...
Kwenye mgogoro CUF inasimama pekee yake lakini cha ajabu inapotokea chaguzi CHADEMA wanajifanya wapo pamoja na CUF, hapo ndipo unapogundua CHADEMA ndiyo wanufaika wakubw wa mgogoro wa CUF, sasa wanachekelea kuachiwa kata zote ili wasimamishe wagombea kwa mwamvuli wa UKAWA.
Lini atakagua ujenzi wa ofisi kuu ya chama, Taifa.
Ni aibu kwa chama kinachopokea ruzuku ya shilingi milioni 200 kila mwezi kupanga kwenye kibanda kama kile cha mtaa wa Ufipa.
Huenda ule ni mradi wa mtu kupiga hela
Mgombea wa Rais kupitia chama cha New Patriotic Party (NPP), Nana Addo Dankwa Akufo Addo ameshinda kiti cha urais katika nchi ya Ghana, katika uchaguzi uliofanyika mapema wiki hii.
Rais mteule, Nana Addo ameandika kwenye ukurasa wake wa Facebook kuwa amepokea simu ya pongezi kutoka kwa...
Katika kile kinachooneka kuwajibu wapinzani wake, Rais Mteule wa Marekani Donald Trump ameandika kwenye ukurasa wake wa Facebook
"If the election were based on total popular vote I would have campaigned in NY, Florida and California and won even bigger and more easily!"mIkumbukwe kuwa Trump...
Wewe unayeyaishi hayo unayoyaandika mbona hatukuoni kwenye Forbes kuwa na wewe ni miongoni mwa watu wenye fedha zaidi ya kutuonyesha your naked mind.
" If you think you are wise enough, think wisely
Hujaitwa na mtu yeyote kusoma au kuchangia Uzi huu bali umejipendekeza mwenyewe. Ingefaa muda huo ulioutumia kupost hapa ukayafanya hayo unayowaambia watu wakayafanye.
Poor John Ndale, think twice before you post
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.